Mchungaji na wanawake 7 watiwa mbaroni baada ya kukutwa wakisali wakiwa uchi

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Jeshi la Polisi nchini Uganda liliwakamata watu hao wakiwa kwenye nyumba moja huko Rukiga na baada ya kuhojiwa walidai kuwa nyumba hiyo ndio kanisa lao.

Imethibitika kuwa Wanawake hao wote wameolewa na baada ya kukamatwa kwao Waume zao wamejitokeza na kusema kuwa wake zao walitoweka kwa muda wa wiki 1 sasa.

Jeshi la Polisi limesema kuwa linaheshimu uhuru wa watu kuabudu lakini hawawezi kuacha watu waendeshe mikusanyiko kinyume cha sheria.

-------
Rukiga/Katakwi. Police in Rukiga District have detained seven women and a male pastor accused of holding an illegal meeting and praying while naked from a private house they claim is their church.

The members, claiming to be of Full Gospel Church, were seized from the house of one Adah Kahababo of Kangondo Ward in Rukiga Town Council.

The joint security swoop on Tuesday was led by the Resident District Commissioner (RDC), Mr Emmy Ngabirano, and the District Police Commander, Mr John Mawure.

Mr Ngabirano questioned why the worshipers were praying naked with one man as their pastor.
He also wondered what the purported pastor was doing with people’s naked wives.

Mr Mawure listed those arrested as pastor Aggrey Elias Mubangizi of Ibanda municipality in Ibanda District, Adah Kahababo, Christine Arinda, Hope Nyamurungi, Apohia Tumusiime, Annah Mugabirwe, Angella Nyangoma, and Moreen Nyangoma, all residents of Rukiga.

“We respect the freedom of worship but people must follow the existing laws of operating a church and one of the requirements is to have it registered. The arrested people were holding an illegal assembly in someone’s house, which they claimed to be their church where they have been praying while naked,” Mr Ngabirano said.

“As the security team, we shall not allow such unlawful activities as they may lead to a cult like that of [Joseph] Kibwetere where hundreds of people were burnt to death in a church in Kanungu District in March 2000,” he added.

The RDC said the women’s spouses had complained to security officials about the former’s behaviour, saying they had abandoned their marital homes for one week and camped at Ms Kahababo’s home for day and night prayers.

Meanwhile, in Katakwi District, residents have rescued a nine-year-old girl on the verge of death from a Pentecostal church in Aguriguri Village.

The girl’s mother, Ms Rose Aguti, is reported to have been told by Pastor Richard Asutu, 27, of Save Soul International Ministries to abandon medical treatment and rely on prayers for her daughter to be healed.

Her father, Mr Charles Atoro, said she recently underwent blood transfusion at Soroti Regional Referral Hospital but his wife discontinued her medication and stealthily took her to the church.

“At church, I found the child dazed and the drugs prescribed were nowhere to be seen,” he said.

He said upon seeing the daughter on the verge of death, the residents attacked the pastor before police intervened.

Mr Peter Odoko, the district community liaison officer, said: “We are told he holds overnight prayers, which bar women from sexual intercourse with their men,” he said.

Source: Seven women arrested in naked prayer with pastor
 
Mchungaji - sukuma ndani
Waumini - sukuma ndani
Waume za hao wanawake - sukuma ndani
Mashuhuda - sukuma ndani
 
Imani zetu zina some sort of ujinga hivi ukizizidisha!! Sasa hapo jitu litasingizia eti shetani alilipitia.

Wiki nzima Pasta anafaidije mali za watu!!
 
Jeshi la Polisi nchini Uganda liliwakamata watu hao wakiwa kwenye nyumba moja huko Rukiga na baada ya kuhojiwa walidai kuwa nyumba hiyo ndio kanisa lao.

Imethibitika kuwa Wanawake hao wote wameolewa na baada ya kukamatwa kwao Waume zao wamejitokeza na kusema kuwa wake zao walitoweka kwa muda wa wiki 1 sasa.

Jeshi la Polisi limesema kuwa linaheshimu uhuru wa watu kuabudu lakini hawawezi kuacha watu waendeshe mikusanyiko kinyume cha sheria.

-------
Rukiga/Katakwi. Police in Rukiga District have detained seven women and a male pastor accused of holding an illegal meeting and praying while naked from a private house they claim is their church.

The members, claiming to be of Full Gospel Church, were seized from the house of one Adah Kahababo of Kangondo Ward in Rukiga Town Council.

The joint security swoop on Tuesday was led by the Resident District Commissioner (RDC), Mr Emmy Ngabirano, and the District Police Commander, Mr John Mawure.

Mr Ngabirano questioned why the worshipers were praying naked with one man as their pastor.
He also wondered what the purported pastor was doing with people’s naked wives.

Mr Mawure listed those arrested as pastor Aggrey Elias Mubangizi of Ibanda municipality in Ibanda District, Adah Kahababo, Christine Arinda, Hope Nyamurungi, Apohia Tumusiime, Annah Mugabirwe, Angella Nyangoma, and Moreen Nyangoma, all residents of Rukiga.

“We respect the freedom of worship but people must follow the existing laws of operating a church and one of the requirements is to have it registered. The arrested people were holding an illegal assembly in someone’s house, which they claimed to be their church where they have been praying while naked,” Mr Ngabirano said.

“As the security team, we shall not allow such unlawful activities as they may lead to a cult like that of [Joseph] Kibwetere where hundreds of people were burnt to death in a church in Kanungu District in March 2000,” he added.

The RDC said the women’s spouses had complained to security officials about the former’s behaviour, saying they had abandoned their marital homes for one week and camped at Ms Kahababo’s home for day and night prayers.

Meanwhile, in Katakwi District, residents have rescued a nine-year-old girl on the verge of death from a Pentecostal church in Aguriguri Village.

The girl’s mother, Ms Rose Aguti, is reported to have been told by Pastor Richard Asutu, 27, of Save Soul International Ministries to abandon medical treatment and rely on prayers for her daughter to be healed.

Her father, Mr Charles Atoro, said she recently underwent blood transfusion at Soroti Regional Referral Hospital but his wife discontinued her medication and stealthily took her to the church.

“At church, I found the child dazed and the drugs prescribed were nowhere to be seen,” he said.

He said upon seeing the daughter on the verge of death, the residents attacked the pastor before police intervened.

Mr Peter Odoko, the district community liaison officer, said: “We are told he holds overnight prayers, which bar women from sexual intercourse with their men,” he said.

Source: Seven women arrested in naked prayer with pastor
Picha
 
Polisi katika eneo la Rukiga nchini Uganda, wamewashikilia wanawake 7 na mchungaji wao, kwa kusali wakiwa watupu ndani ya nyumba ambayo wao wamedai kuwa ndio kanisa lao.

Watu hao ambao wamedai ni waumini wa kanisa la Full Gospel wamekutwa kwenye nyumba ya mmoja wao anayejulikana kwa jina la Adah Kahababo, huko Rukiga.

Akizungumzia kukamatwa kwao Kamishna wa makazi wa wilaya Emmy Ngabirano na Mkuu wa Polisi wa eneo hilo, wamesema kwamba watu hao ambao ni wake za watu, wameshangazwa na kitendo hicho, ambacho licha ya kuvunja maadili, pia ni jambo la kushangaza.

“Tunaheshimu uhuru wa kuabudu, lakini watu lazima wafuate utaratibu wa kuendesha kanisa, watu waliokamatwa walikuwa wanaendesha kusanyiko kinyume na sheria, tena ndani ya nyumba ya mtu ambayo wamedai ni kanisa lao, sisi kama watu wa usalama hatuwezi kuliacha kwa sababu mwaka 2000 kuna watu walichomwa moto kanisani kwa tukio kama hili”, amesema Kamishna Ngabirano.

Hata hivyo waume wa wanawake hao wamesema wake zao wameyakimbia makazi yao kwa takriban wiki mpaka sasa, na kwenda kuweka kambi kwa Bi. Kahabado kwa ajili ya maombi ya usiku na mchana.

Waliokamatwa ni Mch. Agrey Elias Mubangizi, Adah Kahabado, Christina Arinda, Hope Nyamurungi, Apohia Tumusiime, Anna Mugabirwe, Angela Nyangoma na Moreen Nyangoma.
 
Back
Top Bottom