Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Mchungaji na Dereva Taksii walikufa,walipofika Mbinguni Mwenyeji wao akampa Dereva Taksi mahala pazuri pakuishi, Jumba kubwa maru maru tele, hewa safi,mito ya maziwa na asali na matunda ya kila aina na vitu vitamu vitamu!!
Mchungaji akapewa kijibanda kibayabaya, kitanda cha kamba, kaTV black and white vidirisha vidogo hewa nzito!
Mchungaji akamwambia Mwenyeji wake,
Mchungaji:Nafikiri utakua umechanganya mambo,nilidhani mimi ndo nilistahili lile jumba kubwa zuri zuri, istoshe mimi nilikua Mchungaji, nikienda kanisani kila siku kuhubiri neno la Mungu!!!
Mwenyeji:Ni kweli lakini ulipokua ukihubiri watu walikua wanalala, ila Dereva Taksii alipokua akiendesha gari japo rafu rafu watu walikua wanamwomba Mungu!
Mchungaji akapewa kijibanda kibayabaya, kitanda cha kamba, kaTV black and white vidirisha vidogo hewa nzito!
Mchungaji akamwambia Mwenyeji wake,
Mchungaji:Nafikiri utakua umechanganya mambo,nilidhani mimi ndo nilistahili lile jumba kubwa zuri zuri, istoshe mimi nilikua Mchungaji, nikienda kanisani kila siku kuhubiri neno la Mungu!!!
Mwenyeji:Ni kweli lakini ulipokua ukihubiri watu walikua wanalala, ila Dereva Taksii alipokua akiendesha gari japo rafu rafu watu walikua wanamwomba Mungu!