Mr.Waukweli
Member
- Feb 18, 2012
- 60
- 40
wadau nmesikia anasema alikopeshwa milion 3, alikopeshwa na nani? Cjamsikia vzr
hivi jamani Mtikila hagombei, mbona anapewa muda hivyo km mgombea urais na anaeleza vipaumbele vyake watu wamchague, ikoje hii?
hivi jamani Mtikila hagombei, mbona anapewa muda hivyo km mgombea urais na anaeleza vipaumbele vyake watu wamchague, ikoje hii?
Jamani mwacheni Mtikila...anatafuta pesa ya mboga.
Kuna mwanajf mmoja amemfananisha na askari Wa traffic.
Sasa mpelekee salamu kuzimu sisi tutamchagua Lowassa ila yeye hata anayemtaka hawezi kumchagua Utukufu wa Mungu ni wa Milele!Hata wanyama wanaweza kuwa na busara katika maamuzi ila Mtikila anashangaa wanaomshabikia Edward Lowassa ambaye ni mwizi na kwa uchafu alioufanya nchi hii kama ingalikua ni China angeshanyongwa muda mrefu sana,Awataka watanzania waache ushabiki.
Anaenda mbali zaidi alipozungumzia afya ya Edward Lowassa na kusema maradhi alionayo yanaathiri kichwani.
Kuhusu taarifa za tafiti zilizofanywa na TWAWEZA Mtikila anamshukuru Mungu kwani wanaomuunga mkono Edward Lowassa fisadi ni wachache.
Anaendambali kwakusema watu wanaomshabikia Edward Lowassa wanautahaira nusu(epedomia) anasisitiza Watanzania tuwe makini na huyu fisadi.
Anasema ukiachilia mbali matatizo yao ni afadhali ya Magufuli awe raisi wa nchi.
Mfano anatoa mfano wa afya zao Edward Lowassa ni mgonjwa na hatuwezi geuza Ikulu kua ICU ya wagonjwa.Na anasema mficha maradhi mauti humuumbua na anasisitiza Edward Lowassa angejikita kwenye afya yake kwanza.
Anakumbusha wizi wa Edward Lowassa ambao alituongopea akaahidi kwenda kutununulia mvua na kutumia pesa nying na hatimae mvua yakununua ikawa ni uongo mtupu.
Anaonesha dalili za kufa kweli huyu na asipotubu hakika yatamkuta ya kutisha, Mchungaji anakosa busara kiasi hiki???????
Du! Wewe kama nabii vile. Mchungaji keshanuna tayari.Anaonesha dalili za kufa kweli huyu na asipotubu hakika yatamkuta ya kutisha, Mchungaji anakosa busara kiasi hiki???????
Anaonesha dalili za kufa kweli huyu na asipotubu hakika yatamkuta ya kutisha, Mchungaji anakosa busara kiasi hiki???????