Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji mtikila hiyo ni njaa yko acha kupotosha uma wa watanzania umegombea miaka mingi hupati si uache tu, kafie mbali.
 
Tanzania tunashida sana ya weledi, siku zote star tv walikuwa hawamuoni mtikila mpaka Edo alipohamia ukawa? Poor my Country
 
Jamani mwacheni Mtikila...anatafuta pesa ya mboga.

Kuna mwanajf mmoja amemfananisha na askari Wa traffic.
 
Mwenzio alimkashif sana Lowasa kwa kigezo cha ugonjwa... Na ww umejiingiza tena umeenda mbal kwa kumuita marehemu......tubu hii dhambi
 
Hata wanyama wanaweza kuwa na busara katika maamuzi ila Mtikila anashangaa wanaomshabikia Edward Lowassa ambaye ni mwizi na kwa uchafu alioufanya nchi hii kama ingalikua ni China angeshanyongwa muda mrefu sana,Awataka watanzania waache ushabiki.

Anaenda mbali zaidi alipozungumzia afya ya Edward Lowassa na kusema maradhi alionayo yanaathiri kichwani.

Kuhusu taarifa za tafiti zilizofanywa na TWAWEZA Mtikila anamshukuru Mungu kwani wanaomuunga mkono Edward Lowassa fisadi ni wachache.

Anaendambali kwakusema watu wanaomshabikia Edward Lowassa wanautahaira nusu(epedomia) anasisitiza Watanzania tuwe makini na huyu fisadi.

Anasema ukiachilia mbali matatizo yao ni afadhali ya Magufuli awe raisi wa nchi.

Mfano anatoa mfano wa afya zao Edward Lowassa ni mgonjwa na hatuwezi geuza Ikulu kua ICU ya wagonjwa.Na anasema mficha maradhi mauti humuumbua na anasisitiza Edward Lowassa angejikita kwenye afya yake kwanza.

Anakumbusha wizi wa Edward Lowassa ambao alituongopea akaahidi kwenda kutununulia mvua na kutumia pesa nying na hatimae mvua yakununua ikawa ni uongo mtupu.
Sasa mpelekee salamu kuzimu sisi tutamchagua Lowassa ila yeye hata anayemtaka hawezi kumchagua Utukufu wa Mungu ni wa Milele!
 
Apumzike tu kwa amani aise, huyu mchungaji mpuuzi sana alikua, alikua hapimj maneno ya kuongea, sasa kama alisema afichae maradhi kifo humuumbua alikua anajua kua mtu anaweza akafa kwa ugonjwa tu??? Akili zake na za Nape nauye zinafanana
 
Back
Top Bottom