johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,956
Binafsi nampongeza aliyekuwa mbunge wangu wa Iringa mjini mchungaji Msigwa kwa kutoyumba wala kuyumbishwa na siasa za kutamani madaraka.
Pamoja na kufuatwa jela na Mwenezi Polepole na kulipiwa faini na wanafamilia bado mchungaji Msigwa alibakia kuwa mwanachama mtiifu wa Chadema.
Nina imani kama mchungaji Msigwa angekuwa mroho wa madaraka basi leo angekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM.
Nayasema haya kwa sababu hivi karibuni wameanza kutokea akina Petro wakimkana Magufuli baada ya kuwa hayati.
Nakutakia Pasaka njema mchungaji Msigwa.
Maendeleo hayana vyama!
Pamoja na kufuatwa jela na Mwenezi Polepole na kulipiwa faini na wanafamilia bado mchungaji Msigwa alibakia kuwa mwanachama mtiifu wa Chadema.
Nina imani kama mchungaji Msigwa angekuwa mroho wa madaraka basi leo angekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CCM.
Nayasema haya kwa sababu hivi karibuni wameanza kutokea akina Petro wakimkana Magufuli baada ya kuwa hayati.
Nakutakia Pasaka njema mchungaji Msigwa.
Maendeleo hayana vyama!