Mchungaji Msigwa aboronga Bungeni

Mkuu, ina maana Msigwa anataka watu wakatazwe kutumia kuni?

Hiyo ya hesabu siwezi kushangaa kwa sababu Msigwa na Bavicha ni kiwango sawa. Ila nataka kujua hoja yake ni nini, je, watu wakatazwe kutumia kuni?

Mkuu, hakika hata alichokuwa anakusudia kusema hakijulikani. sijui alitaka serikali itoe tamko la kuzuia wananchi wasitumie kuni au. n=yaani nimeshangaa sana kwani msigwa anajua kuwa serikali kwa sasa inatekeleza mkakati wa kuboresha nishati ya gesi nchini
 

Waziri aliielewa message ambayo Mch. Msigwa alitaka kuitoa na ndiyo maana waziri kajibu bila kujali mapungufu ya kitakwimu. Hicho ndicho kilikuwa kinakusudiwa na Mch. Msigwa.
 
Waziri aliielewa message ambayo Mch. Msigwa alitaka kuitoa na ndiyo maana waziri kajibu bila kujali mapungufu ya kitakwimu. Hicho ndicho kilikuwa kinakusudiwa na Mch. Msigwa.

Mkuu, kwa hiyo wewe umefurahia mbunge kuboronga? au kama waziri na yeye angekuwa na akili za machadema hali ingekuwaje?
 
Nafikiri ulimi umeteleza alimaanisha hekta 300 Ekari 800 kama maelezo yako ni sahihi!
 

Dah umepata mada ya kukuingizia buku 7 leo kiulaiiini. Hawa ndo vijana wa Tanzania ya leo.
 
mkuu unajuaje kwamba anajua?
 
 
Bora Msigwa aliyeiomba serikali iweke mkakati.Kuliko anayebadilishana madini kwa kondomu na Net.Msigwa ni tunu ya taifa.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 

Hayatuhusu
 
Mkuu, kwa hiyo wewe umefurahia mbunge kuboronga? au kama waziri na yeye angekuwa na akili za machadema hali ingekuwaje?
Lizaboni, uko sahihi kwamba hatuhitaji wabunge wetu wasiwe makini ila mimi nilikuwa naangalia zaidi ile key message iliyokuwa imebebwa na swali la Msigwa, swala la precision ya conversion ya units from Acre-Hectare siyo la msingi sana kwenye hoja ya Msigwa. Moreover, swala la precision kwenye statistics ni tatizo kwa wabunge wengi.
 
Last edited by a moderator:
bora hata msigwa ilikuwa typibg error je yule waziri ambaye anaamini tanganyika iliungana na zimbabwe je nani kati yake bna msigwa ambae ni kituko
 
Mkuu, ina maana Msigwa anataka watu wakatazwe kutumia kuni?

Hiyo ya hesabu siwezi kushangaa kwa sababu Msigwa na Bavicha ni kiwango sawa. Ila nataka kujua hoja yake ni nini, je, watu wakatazwe kutumia kuni?
Walau wewe umezungumzia hoja kuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…