FuturePresident
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 321
- 54
Naona director alijaribu kuaanda movie yake lakini kachemka, mpango ulipangwa kuanzia kwa Dr Slaa..halafu kuweka wafuasi feki wa chadema kwenye maandamano,halafu kuanzisha mjadala kwenye mitandao ya kijamii, kiuanzisha udini ....cheap politics, maji taka same to 2010....kumbukeni Watanzania wanabadilika...hapa manajribu kujipanga mnajibizana wenyewe kwa wenyewe but its too late...too late safari hii sio rahisi kama ilivyokuwa kwa Slaa mwenyewe 2010...TBC itarudia na Kurudia kurusha interview ya Slaa..lakini Mtazidi kuongeza nguvu ya ukawa...sasa angalia ujinga watu wanapanga maandamano mpka sauti zao zinarekodiwa....!!!!