Mchungaji Anthony Lusekelo "Mzee wa Upako" amtembelea Spika wa Bunge, Job Ndugai

kirerenya

JF-Expert Member
Aug 27, 2013
1,696
2,252
upako1.jpg

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mchungaji Anthony Lusekelo (kulia) alipomtembelea leo katika ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.

1-51.jpg

Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akipiga picha ya pamoja na ugeni kutoka Kanisa la Maombezi (GRC) ukiongozwa na Mchungaji Anthony Lusekelo (wa tatu kulia) baada ya kikao kilichofanyika leo katika ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.

2-28.jpg
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) akizungumza jambo wakati alipotembelewa na ugeni kutoka Kanisa la Maombezi (GRC) ulioongozwa na Mchungaji Anthony Lusekelo (wa pili kulia) katika kikao kilichofanyika leo katika ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.
 
Hivi wale waandishi aliosema watakufa March sababu wamemuandika amelewa paba walikufa kama alivyotabiri?
 
Nchi ya vioja, watu wa vioja, fikra za vioja. Hivi tapeli huyu naye mmempa utukufu! Eti jana ulikuwa masikini, nimekuombea leo jpili unaonyesha funguo eti umenunua scania tani 12. Wakati huo huo anakusanya mia tamo - Tsh 500 yako. Akupe malori, akusanye 500! Nonsense!
 
Back
Top Bottom