Kwa kuwa wakitapeliwa hawasikii. Pindi watu watakapochomewa kanisani, kama wafuasi wa Kibwetele ndia wataelewa ulevi na ushabiki wa imani una madhara gani. Tunapoelekea, utasikia mchungaji amemtoa mtoto wa mtu sadaka ya kuteketezwa
Vinavyoonekana na Visivyoonekana! Dah!