huyo mchungaji kama jina lake linaanzia na G nakushauri mpe tu naskia anakata mauno sana ila ndo ujiandae kisaikolojia yeye mwisho wake ni dakika moja na sekunde thelasini tu..
Sikiliza dada,
wewe huna mume,ungekua na mume mngefunga ndoa,huyo uliezaa nae ni bwana tu mmezini akakuzalisha,kwa hiyo hata pasta akikutaka sawa tu,kwa kuwa si mke wa mtu,je jamaa akikataa kukuoa?.
Wajuzi waje wanikosoe kwa ukweli niliokwambia.
Napingana na wewe, imagine umempenda binti ukaamua kupeleka barua kwao na wazazi wake wakakuruhusu umuoe, then ukamchukua ukamweka ndani bila kufunga ndoa na Mungu akawajaalia watoto. Je hiyo siyo ndoa? Au ndoa ni kusherehekea na kualika watu kula pilau na kuwatangazia huyu ni mume/mke wangu?
My point: Ndoa ni makubaliano ya wawili kuishi pamoja.
Sikiliza dada,
wewe huna mume,ungekua na mume mngefunga ndoa,huyo uliezaa nae ni bwana tu mmezini akakuzalisha,kwa hiyo hata pasta akikutaka sawa tu,kwa kuwa si mke wa mtu,je jamaa akikataa kukuoa?.
Wajuzi waje wanikosoe kwa ukweli niliokwambia.