i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
natafuta mchumba ..mimi nipo single, nina kazi ,usafiri,nyumba ndio nimeanza kujenga,naishi dsm.umri wangu haujazidi 30 na haujapungua 27.
ninayemtafuta
-Awe mtanzania(nchi zingine sitaki)
-awe na elimu yoyote
-awe na mtoto au asiwe naye
-awe na kijungu cha maana(sio cha kichina)
-awe tayari kuvaa mapigo ninayoyapenda(sio maoveroli)
-awe mwaminifu kama mimi
-awe tayari kushirikiana na mimi kimawazo
-dini yoyote
-awe na kazi ama asiwe na kazi sio tatizo
-asiwe mtumia mkorogo
-awe na nyodo,asiwe amezoeana na wanaume wengine bila jambo la maana.
-awe muelewaji
(akae akijua kuwa kucheat hakutakuwa na msamaha kwani hata mimi sitokuja kumcheat..sinaga hizo tabia, kwangu hazian mashiko )
naruhusu PM yoyote kutoka kwa wadada wa kitanzania tu....Ilove you Tanzanian ladies.
i pad3
ninayemtafuta
-Awe mtanzania(nchi zingine sitaki)
-awe na elimu yoyote
-awe na mtoto au asiwe naye
-awe na kijungu cha maana(sio cha kichina)
-awe tayari kuvaa mapigo ninayoyapenda(sio maoveroli)
-awe mwaminifu kama mimi
-awe tayari kushirikiana na mimi kimawazo
-dini yoyote
-awe na kazi ama asiwe na kazi sio tatizo
-asiwe mtumia mkorogo
-awe na nyodo,asiwe amezoeana na wanaume wengine bila jambo la maana.
-awe muelewaji
(akae akijua kuwa kucheat hakutakuwa na msamaha kwani hata mimi sitokuja kumcheat..sinaga hizo tabia, kwangu hazian mashiko )
naruhusu PM yoyote kutoka kwa wadada wa kitanzania tu....Ilove you Tanzanian ladies.
i pad3