OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 606
Jamani wana JF naombeni ushauri,
Nina mchumba wangu ambaye nataka nimuoe ila vigezo na masharti naona kama vile hanipendi huyu mwanamke.
Kwanza anataka nipunguze kitambi, wakati kitambi chenyewe ni kidogo tu anasema inamkera kuwa anataka niwe gentleman au modal.
Je wakati tunaanza mahusiana kitambi hakukiona, nina miaka 4 sasa tangu tuanze mahusiano, cha pili anataka nimsubirie miaka miwili toka sasa wakati mi umri unazidi kwenda now am 32 years old.
Je, nifanyaje?
Nina mchumba wangu ambaye nataka nimuoe ila vigezo na masharti naona kama vile hanipendi huyu mwanamke.
Kwanza anataka nipunguze kitambi, wakati kitambi chenyewe ni kidogo tu anasema inamkera kuwa anataka niwe gentleman au modal.
Je wakati tunaanza mahusiana kitambi hakukiona, nina miaka 4 sasa tangu tuanze mahusiano, cha pili anataka nimsubirie miaka miwili toka sasa wakati mi umri unazidi kwenda now am 32 years old.
Je, nifanyaje?
akikupa option ya kuchagua kitambi na yeye utachagua nn?