atafute mifano kwa watoto wa wachungaji kama kumi hivi aone maaafa!sasa kama kwao wachawi ,yeye inamhusu vipi?
mbona wapo watu kwao walokole na wao ni micharuko?
Ndg wana Jf najitokeza leo,naombeni ushauri wenu,nimepata mchumba ambaye ni mzuri,mpole na tunaependana sana.LAKINI tatizo nina taarifa kutoka kwa wazee,kuwa kwao ni wachawi.NAOMBENI ushauri wenu,,najaribu kumwacha nashindwa maana nampenda,,nisaidieni
Walionipa taarifa ni wazee ambao wanaijua familia yao yaani watu wa pembeni ya huo ukoo na si wazee wa upande wangu.KUHUSU ulokole,wazee wangu msimamo wa dini ni wa wastani