kabila sijachangia stop generalize things SEMA NINA MPENDA SIO TUNAPENDANA USIUSEME MOYO WA MPENZI WAKO
pili angekua anazimia misiba yote ingekua ni kifafa mshukuru mungu kazimia huo
NAJUA UNAWAZA UMEGONGEWA LAKINI PIA MSHUKURU MUNGU MUME MWENZIO KAFA UMEBAKI MWENYEWE UNATAKA NINI TENA????
ukute watu walikua wamebanana sana hapo msibani kiasi kua alikosa hewa safi ya kutosha na hivyo kupelekea yeye kuzimia
Bora nusu shari kuliko shari kamili.Azimie sasa wakati ni wachumba.Asije akazimia siku ya ndoa au baada ya kuingia kwenye ndoa
Aliyefariki ni mama wa mkufunzi wake.Ila usimtie presha.Remember Inocent until proven guilt.
Akizinduka muulize kwa kina...
Nina mchumba am aye tunapendana sana .yukochuo kimoja jinini Mbeya cha kushangaza kwao kuliwahi tokea misiba mingi haikuwai tokea Hali hii Jana mama wa mkufunzi wake alifariki wakati wanapeleka mwili kuuhifadhi mchumba Wangu alipo mwangalia mwalimu wake gafla akapoteza fahamu kanipigia cm Yuko hospital .je nijue mini kati ya mchumba Wangu na mwalimu wake au nichukulie kawaida?naomba ushauri
Asha kufa umebaki wewe tu amna haja ya kulalama tena.... rule of the jungle survival of the fitest..
Nina mchumba am aye tunapendana sana .yukochuo kimoja jinini Mbeya cha kushangaza kwao kuliwahi tokea misiba mingi haikuwai tokea Hali hii Jana mama wa mkufunzi wake alifariki wakati wanapeleka mwili kuuhifadhi mchumba Wangu alipo mwangalia mwalimu wake gafla akapoteza fahamu kanipigia cm Yuko hospital .je nijue mini kati ya mchumba Wangu na mwalimu wake au nichukulie kawaida?naomba ushauri
kabila sijachangia stop generalize things SEMA NINA MPENDA SIO TUNAPENDANA USIUSEME MOYO WA MPENZI WAKO
pili angekua anazimia misiba yote ingekua ni kifafa mshukuru mungu kazimia huo
NAJUA UNAWAZA UMEGONGEWA LAKINI PIA MSHUKURU MUNGU MUME MWENZIO KAFA UMEBAKI MWENYEWE UNATAKA NINI TENA????
Sahihisho: aliyekufa ni mama wa mme mwenzie.
Sahihisho: aliyekufa ni mama wa mme mwenzie.
ushauri: Amuue na yeye mama yake aone mke wao kama atazimia pia.
hahahaahah kuchapiwa siri ya ndani
Kila nikitokea hapa kijiwe sioni warafiki niliowazoea.Ndo maana na mimi inabidi nitoke kimya kimya.Sijui mnabadilisha Ids?Rafiki asante kwa kunyoosha maelezo.
Mbona umepotea sana, au bado uko MLIMANI?
aaah kumbe nikajua mkufunzi kafa kumbe ni mama yake..... basi ajiandae kuingia poriniAliyekufa ni mama wa mkufunzi (mama mkwe?), alipomwona mkufunzi (mwana wa marehemu) akazima.
Kwa wafanya ujasiliamali tunaiita hiyo ni 'stiff competition'.
Hahaaa, huyu boya live, mkufunzi anapendwa hadi ndugu zake, dadeeeki!!
Kuchapiwa si hoja, hoja kufumania. Hujafumania unalialia kama kereng'ende. Watakucheka watu.