Mchumba Wangu kazimia kwenye msiba

Mchumba Wangu kazimia kwenye msiba

busness

Member
Joined
May 1, 2014
Posts
27
Reaction score
9
Nina mchumba am aye tunapendana sana .yukochuo kimoja jinini Mbeya cha kushangaza kwao kuliwahi tokea misiba mingi haikuwai tokea Hali hii Jana mama wa mkufunzi wake alifariki wakati wanapeleka mwili kuuhifadhi mchumba Wangu alipo mwangalia mwalimu wake gafla akapoteza fahamu kanipigia cm Yuko hospital .je nijue mini kati ya mchumba Wangu na mwalimu wake au nichukulie kawaida?naomba ushauri
 
kabila sijachangia stop generalize things SEMA NINA MPENDA SIO TUNAPENDANA USIUSEME MOYO WA MPENZI WAKO

pili angekua anazimia misiba yote ingekua ni kifafa mshukuru mungu kazimia huo
NAJUA UNAWAZA UMEGONGEWA LAKINI PIA MSHUKURU MUNGU MUME MWENZIO KAFA UMEBAKI MWENYEWE UNATAKA NINI TENA????
 
kabila sijachangia stop generalize things SEMA NINA MPENDA SIO TUNAPENDANA USIUSEME MOYO WA MPENZI WAKO

pili angekua anazimia misiba yote ingekua ni kifafa mshukuru mungu kazimia huo
NAJUA UNAWAZA UMEGONGEWA LAKINI PIA MSHUKURU MUNGU MUME MWENZIO KAFA UMEBAKI MWENYEWE UNATAKA NINI TENA????
Aliyefariki ni mama wa mkufunzi wake.Ila usimtie presha.Remember Inocent until proven guilt.
 
Asha kufa umebaki wewe tu amna haja ya kulalama tena.... rule of the jungle survival of the fitest..
 
kabila sijachangia stop generalize things SEMA NINA MPENDA SIO TUNAPENDANA USIUSEME MOYO WA MPENZI WAKO

pili angekua anazimia misiba yote ingekua ni kifafa mshukuru mungu kazimia huo
NAJUA UNAWAZA UMEGONGEWA LAKINI PIA MSHUKURU MUNGU MUME MWENZIO KAFA UMEBAKI MWENYEWE UNATAKA NINI TENA????

isome vizuri post ya mdau afu ndo ushairi kasema MAMA WA MKUFUNZI WAKE NDO KAFA. EEEH NAWE.
 
isome vizuri post ya mdau afu ndo ushairi kasema MAMA WA MKUFUNZI WAKE NDO KAFA. EEEH NAWE.

mtoa mada kamaanisha nilichomjibu
SASA KINACHOMUUMA NI NINI WEE NAWE!
 
Back
Top Bottom