FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,022
- 2,592
Aje na mpyaSingle yako ya vitunguu swaumu imechacha.
Anyway, it takes one to know one.
Huyo ulimkosea kuanzia mwanzo. Ulimuendea kistaarabu mno na ukawa mpole mno. Dalili mojawapo ni kukaa mwaka bila papuchi...
Wanawake hawapendi nice guys mkuu. Hata kama ni muoaji, be a man. Kuwa na misimamo. Usifuate matakwa yake muda wote, be a priority to yourself.
Muendeshe. Demand utmost respect. Usionyeshe kumuamini. Onyesha kuwa una options na sio kwamba yeye ndio kila kitu kwako. Mwambie kuwa she is highly replaceable hivyo akijiskia at any time anaweza kuondoka.
Mmiliki, lakini be confident. Usimfuatilie mawasiliano yake na nyendo zake. Na ukigundua kitu kwenye simu yake, usimwambie. Basically ingekuwa mahakamani tungesema whatever you find in her phone is inadmissible evidence.
Hakuna principle moja kwamba ukimpa mwanamke kitu flani atatulia. No man knows what women want. Neither do themselves. Neither does God, hata akasema tuishi nao kwa akili.
Hizo principles nilizokupa zitakukinga dhidi ya upuuzi wa hawa viumbe in the future. Your sanity is more important than sex and affection.
Huyo hata ukimsamehe, nakuasi usirudiane naye. Ameshakumark weakness yako. Alianza kukupush limits zako kidogo kidogo na ameshazisogeza sana. Hakufai tena.
Kila mtu ana namna yake ya kudeal na heartbreak. Do what a nigga's got to do.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ila kuna kosa moja kubwa sana ulifanya... Kosa la kupekua simu yake bila ridhaa yake kwa asilimia mia moja.... Ni vema usitafute matatizo bali yaache matatizo yaje yenyewe.... Hakuwa na jinsi ya kukukatalia na hakupenda ugomvi.. Huyo kwangu bado ni mwanamke boraWakubwa zangu shikamooni, vijana wenzangu habari vipi?
Ndugu zangu, nipo serious sanaa katika ombi langu, nakuomba unipe muda wa kunisikiliza kidogo na unishauri kama inafaa.
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29, ni mwajiliwa serikalini idara ya Afya. Kuna binti nilianza nae uchumba 2017 mwanzoni yeye akiwa chuo flan cha afya, Mimi ni Mgogo yeye ni Mbulu ana miaka 24 sasa.
Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili. Ni binti ambae niliona huyu anafaa kuwa mke wangu kabisaa maana alikua ana msimamo sanaa hata kwa watu wengi waliokua wakimtongoza maana alikua ananionesha sms na calls zao, bas nikawa namshauri wajibu wewe ni mke wa mtu na unahitaji heshima, kiukweli nilijipa moyo hapa nimepata mke kweli kweli. Basi akamaliza chuo 2017 mwishoni nikamtaftia ajira ya kujishikiza mahali flani mkoa wa Mwanza. Sasa nikawa nimeongea na mtu mmoja awe anafatilia nyendo zake wakati mimi nipo mbali. Alipotimiza miezi miwili kazini nikapata taarifa kuna kabwana mdogo ka umri wa miaka 22 - 24 kanatembea nae hapo hapo alipopanga chumba, sikutaka kuamini, ikanibidi siku moja nifanye kusadiri kwenda kumtembelea kimya kimya bila taarifa, nikafika akanipokea vizuri. Ilipofika usiku nikamwambia sasa mpenzi unaweza kunihakikishia huku huna mchezo wowote mchafu wa kimahusiano? Akanijibu hapana kabisa mpenzi wangu naomba uniamini. Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa. Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap, aseee niliyoyakuta ni mazito mnooooooo wallahi Nimepata simanzi kubwa sanaaa, ikanibidi niondoke usiku huo huo kwenda kutafta Lodge nikalala na kesho nikaondoka kurudi kazini. Mchumba wangu huyu nilikua nimeshafahamiana na ndugu zake baadhi na mama yake mzazi alikua ananijua kwa picha tu na alikua tayari karidhia niww mkwe wake kabla hata sijaenda kujitambulisha maana matendo niliyomfanyia mwane ni mwanaume mwenye malengo mazuri wazi wazi. Kinachoniuma zaidi ni kwamba nimetumia muda mwingi sanaaa kumjenga kiimani, kumjenga juu ya tabia za wanaume wenye tamaa, kiukweli niliamini huyu mwanamke sasa hakuna atakae weza kumshawishi maana hata mimi binafsi nilikua nimebadilika sanaaa kitabia sikuwa nnahamu na michepuko tena niliona sasa huu ni muda wa kutulia na mwanamke mmoja sina haja ya kutanga tanga na dunia ya leo. Ndugu zangu niko serious sanaaa, naombeni ushauri cha kufanya, mwanamke huyu alikua anatembea na kijana wa mwenye nyumba tena kwa kulala nae chumbani kwake karibu kila wiki. Mwanamke alionesha sanaaa kunipenda tulikua tunawasiliana kila siku zaidi ya mara 5 kila siku ya Mungu. Leo naona dunia imenigeuka, nina maumivu makali sanaaaa, niliplan nije kumtambulisha kwetu mwaka huu December, na kwao ningeenda kujitambulisha November ili mwakani Mungu akijaalia tufunge Ndoa. Wakuu, niko gizani, nina msongo wa mawazo, mimi ni jasiri sanaaa lakini nakuomba wewe ndugu yangu ushauri wako katika hili, nakuomba usinitukane wala kunikejeli maana utaniongezea majonzi makubwa.
Naamini thread yangu hii itawafunza na wengine watakao kumbwa na mkasa kama wangu.
ASANTE kwa Muda wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta mzee mwenzako,watoto wanasumbuaWakubwa zangu shikamooni, vijana wenzangu habari vipi?
Ndugu zangu, nipo serious sanaa katika ombi langu, nakuomba unipe muda wa kunisikiliza kidogo na unishauri kama inafaa.
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 29, ni mwajiliwa serikalini idara ya Afya. Kuna binti nilianza nae uchumba 2017 mwanzoni yeye akiwa chuo flan cha afya, Mimi ni Mgogo yeye ni Mbulu ana miaka 24 sasa.
Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili. Ni binti ambae niliona huyu anafaa kuwa mke wangu kabisaa maana alikua ana msimamo sanaa hata kwa watu wengi waliokua wakimtongoza maana alikua ananionesha sms na calls zao, bas nikawa namshauri wajibu wewe ni mke wa mtu na unahitaji heshima, kiukweli nilijipa moyo hapa nimepata mke kweli kweli. Basi akamaliza chuo 2017 mwishoni nikamtaftia ajira ya kujishikiza mahali flani mkoa wa Mwanza. Sasa nikawa nimeongea na mtu mmoja awe anafatilia nyendo zake wakati mimi nipo mbali. Alipotimiza miezi miwili kazini nikapata taarifa kuna kabwana mdogo ka umri wa miaka 22 - 24 kanatembea nae hapo hapo alipopanga chumba, sikutaka kuamini, ikanibidi siku moja nifanye kusadiri kwenda kumtembelea kimya kimya bila taarifa, nikafika akanipokea vizuri. Ilipofika usiku nikamwambia sasa mpenzi unaweza kunihakikishia huku huna mchezo wowote mchafu wa kimahusiano? Akanijibu hapana kabisa mpenzi wangu naomba uniamini. Nikamuuliza, Je, unaweza kunipa simu yako nikague chochote? Akapata kigugumizi sanaaaaa, nikamuuliza Unanipenda na unajiamini? Akajibu ndio, nikamwambia bas naomba simu yako, akapata kigugumizi kizito sanaaa. Basi ikanibidi nichukue simu yake nipitie sms na whatsap, aseee niliyoyakuta ni mazito mnooooooo wallahi Nimepata simanzi kubwa sanaaa, ikanibidi niondoke usiku huo huo kwenda kutafta Lodge nikalala na kesho nikaondoka kurudi kazini. Mchumba wangu huyu nilikua nimeshafahamiana na ndugu zake baadhi na mama yake mzazi alikua ananijua kwa picha tu na alikua tayari karidhia niww mkwe wake kabla hata sijaenda kujitambulisha maana matendo niliyomfanyia mwane ni mwanaume mwenye malengo mazuri wazi wazi. Kinachoniuma zaidi ni kwamba nimetumia muda mwingi sanaaa kumjenga kiimani, kumjenga juu ya tabia za wanaume wenye tamaa, kiukweli niliamini huyu mwanamke sasa hakuna atakae weza kumshawishi maana hata mimi binafsi nilikua nimebadilika sanaaa kitabia sikuwa nnahamu na michepuko tena niliona sasa huu ni muda wa kutulia na mwanamke mmoja sina haja ya kutanga tanga na dunia ya leo. Ndugu zangu niko serious sanaaa, naombeni ushauri cha kufanya, mwanamke huyu alikua anatembea na kijana wa mwenye nyumba tena kwa kulala nae chumbani kwake karibu kila wiki. Mwanamke alionesha sanaaa kunipenda tulikua tunawasiliana kila siku zaidi ya mara 5 kila siku ya Mungu. Leo naona dunia imenigeuka, nina maumivu makali sanaaaa, niliplan nije kumtambulisha kwetu mwaka huu December, na kwao ningeenda kujitambulisha November ili mwakani Mungu akijaalia tufunge Ndoa. Wakuu, niko gizani, nina msongo wa mawazo, mimi ni jasiri sanaaa lakini nakuomba wewe ndugu yangu ushauri wako katika hili, nakuomba usinitukane wala kunikejeli maana utaniongezea majonzi makubwa.
Naamini thread yangu hii itawafunza na wengine watakao kumbwa na mkasa kama wangu.
ASANTE kwa Muda wako
Sent using Jamii Forums mobile app
hata wewe umejaa ukosoaji usio na tija, nawe umejaa kitunguu maji kichwani tuHuwa nawaza kuna ulazima mtu kutumia neno 'mnoooo', 'sanaaa'..? Yaani ndio msisitizo au vitunguu swaumu vimekolea?
Uandishi wenyewe unanukia vitunguu swaumu tu eti 'nilimwambia kuhusu tabia za wanaume wenye tamaa'..mara 'tunawasiliana kwa siku mara tano'..hii ni ishara zaidi ya kula vitunguu swaumu huna shughuli nyingine. Crap!!
Wablock wote, watakuingiza mkenge and this time around ndiyo utaibiwa zaidi ila kwa usiri na usmart hivyo hautagundua kinachoendelea.Mpaka sasa ananipigia sanaaa simu, sms nyingii sanaa ananitumia, dada yake mmoja kanipigia sana simu kumuombea msamaha
Sent using Jamii Forums mobile app
content umeielewa?Huwa nawaza kuna ulazima mtu kutumia neno 'mnoooo', 'sanaaa'..? Yaani ndio msisitizo au vitunguu swaumu vimekolea?
Uandishi wenyewe unanukia vitunguu swaumu tu eti 'nilimwambia kuhusu tabia za wanaume wenye tamaa'..mara 'tunawasiliana kwa siku mara tano'..hii ni ishara zaidi ya kula vitunguu swaumu huna shughuli nyingine. Crap!!
unajusumbua bure, hilo jinga lina mshipa mmoja wa akiliChildish.
Tulianza mapenzi akiwa ameonesha msimamo wa kutoshiriki tendo lolote na mimi mpaka mwaka mmoja ulipopita ndo tukaanza kukutana kimwili.
Braza nakushukuru sana kwa maneno mazito yenye faraja ndani yake, nazidi kuyatafakari maneno yako. Stay Blessed Bro.Pole sana ila kuna kosa moja kubwa sana ulifanya... Kosa la kupekua simu yake bila ridhaa yake kwa asilimia mia moja.... Ni vema usitafute matatizo bali yaache matatizo yaje yenyewe.... Hakuwa na jinsi ya kukukatalia na hakupenda ugomvi.. Huyo kwangu bado ni mwanamke bora
Kosa la pili ulilofanya ni kuondoka bila kumpa nafasi ya kujieleza.... Haya mambo yapo, hasa mnapokuwa mbali mbali... Kuna ngono na kuna mapenzi... Si kila tunaolala nao tuna mapenzi nao, sometimes ni situation tu.....
Huwezi kujua alikuwa anapitia maisha gani, furaha zake, huzuni zake changamoto zake, upweke, stress nk...
You still have the chance to make it again... We are all not perfect, sisi si wakamilifu, tuna mapungufu ya kila aina... Amekosea sawa lakini kumuacha kuna maumivu mengi kuliko ku reconsile....
Kakosea hii ni mara ya kwanza you still have chances... Mrudie kwa upendo mlitengeneze hili anaweza kuja kuwa mwanamke bora kama ulivyokwisha kusema mwenyewe... Mpe nafasi ya kujutia alivyofanya lakini bila manyanayaso, bila kebehi bila matusi.... Safari ya mapenzi, mahusiano mpaka ndoa huwa ni ndefu na changamoto ni nyingi... Ichukulie hii kama changamoto, ameteleza hajaanguka, mshike mkono msonge mbele
Una shock ya kile ulichokiona... It happens! Chukua muda kutafakari jinsi ulivyowekeza kwake... Tukio hili lisizime ndoto yenu kubwa... Ndoa ni zaidi ya ngono
Usijiumize usijitese! Kama yuko tayari kujutia na kutengeneza... Fanyeni hivyo sasa... Utaokoa maumivu mengi
Jr
Asante mkuu wanguWablock wote, watakuingiza mkenge and this time around ndiyo utaibiwa zaidi ila kwa usiri na usmart hivyo hautagundua kinachoendelea.
Hapo ni kama umepatiwa ufunuo umjue uhalisia wake sasa unawaza tena kurudia kulekule? You'll regret.
Braza nakosa jibu kabisa, but binafsi nimefanya sanaa utundu huko nyuma, na sasa ikafikia muda nitulie niache ujinga ndo haya yamenikuta.ivi inakuwagaje watu wenye upendo zaidi kwa wenza wao ua wanasalitiwa sana?
pole sana mkuu jipe moyo na usonge mbele maisha ni lazima yaendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Braza nakushukuru sana kwa maneno mazito yenye faraja ndani yake, nazidi kuyatafakari maneno yako. Stay Blessed Bro.
Sent using Jamii Forums mobile app