Mchumba wangu anatoka na baba yangu (part 1)

Mchumba wangu anatoka na baba yangu (part 1)

pole sana lakini stori fupi hivi na yenyewe to be continued jamani,utafikiri unalipia nafasi gazetini khaa!!

Kenda ku-confirm na mchizi wake ambae pia ni m-sure wake kama ameshakula mzigo au yupo kwenye process!! Dogo yupo makini, hataki kuongea yasiyo na uhakika.
 
kwa hiyo sasa unakula hapo na baba yako anakula hapo hapo?
 
Chai isiyo na sukari alias Chai Chungu...labda yuko busy anatunga hadithi nyingine tamu au lindo limekuwa kali hata muda wa kuandika hapa jamvini umempiga chenga.
Asante sana rafiki kwa kunikumbusha CHAI CHUNGU.
sitamani tena arudi hapa maana ananifanya niwe glued kwenye uzi wake, lol!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom