Dr.Mwakasege
Member
- Jan 30, 2013
- 10
- 0
Mwanzo nilihisi naota lakini kadri siku zinapo jongea ndipo nagundua kwamba ni hali halisi,
Nilianza mahusiano na huyu msichana nikiwa Form 2 muda kidogo baba akaja kuona picha ya huyu wangu,akaniuliza lakini bila kumficha nikamwambia kila kitu coz mimi na baba tulikuwa kama mtu na mdogo wake,baada ya hapo akaja kuona namba yake kwenye simu yangu na hapo ndipo nilpo fanya kosa.... akachukua ile namba bila ya mimi kujua cku mimi cna ili wala lile kumbe mzee kamrukia hewani......(to be continued)
Nilianza mahusiano na huyu msichana nikiwa Form 2 muda kidogo baba akaja kuona picha ya huyu wangu,akaniuliza lakini bila kumficha nikamwambia kila kitu coz mimi na baba tulikuwa kama mtu na mdogo wake,baada ya hapo akaja kuona namba yake kwenye simu yangu na hapo ndipo nilpo fanya kosa.... akachukua ile namba bila ya mimi kujua cku mimi cna ili wala lile kumbe mzee kamrukia hewani......(to be continued)