Mchumba wangu anapepo linalonichukia

Mchumba wangu anapepo linalonichukia

Kwani wanawake wameisha ndugu? Huyo tatizo analifaham vizuri saana. Anaogopa kukwambia tu. Fanya maombi asije kuachia na mikosi.
 
Unataka ushauri gani unataka mpaka akung'ate dudu kwa dk 50 atakazo zimia ndo akili ikusogee,akili kumkichwa
 
Kama mnagegedana huku mnamwagianaa maji ya baraka na kuvarishana rozali bas mkae mkijua mungu hadhihakiwi na hayo ndo matokeo
 
Huna imani na imani yako kwa nn kijana....kwan ww huwez kusimama katika kweli na kufanya maombi juu ya hilo mpka utake msaada wa kanisa.???? piga maombi humo humo ndani na yeye akiwepo...evrythng will be alright....

Mkeo yupo kwnye matatzo na familia yako yote mpo matatizoni.......wew kama baba wa familia u've got somethng to do.
 
Kama unaamini ana pepo, na unaimani unaweza kumsaidia akapona basi msaidie. Sio wote wenye mapepo wanajua na kuna wanaojua lkn wanaona aibu kukiri.

Chakufanya, ongea na mtumishi wa Mungu yeyote, mueleze tatizo la mchumba wako na mpange appointment ya kumpeleka akapate msaada. Wakati unampeleka usimwambie kama unampeleka kwny maombi ila unaweza kumuomba akusindikize mahali, au mnaenda matembezini.

Mkifika kwa mtumishi basi atapata msaada wa maombi japo atachukia akigundua kusudi lako lkn utakuwa umemsaidia sana na atakushukuru baadae.

Pole kwa matatizo
 
Kama unaamini ana pepo, na unaimani unaweza kumsaidia akapona basi msaidie. Sio wote wenye mapepo wanajua na kuna wanaojua lkn wanaona aibu kukiri.

Chakufanya, ongea na mtumishi wa Mungu yeyote, mueleze tatizo la mchumba wako na mpange appointment ya kumpeleka akapate msaada. Wakati unampeleka usimwambie kama unampeleka kwny maombi ila unaweza kumuomba akusindikize mahali, au mnaenda matembezini.

Mkifika kwa mtumishi basi atapata msaada wa maombi japo atachukia akigundua kusudi lako lkn utakuwa umemsaidia sana na atakushukuru baadae.

Pole kwa matatizo
Asante kwa mawazo yako mazuri. Hili ntalifanyia kazi
 
Wewe ndo unapepo yeye hana kabisa

Utatendaje uovu harafu utumie MAJI eti ya baraa na kumvalisha mkufu

Pepo unalo wewe linalomdhuru yeye ili uone wewe mbaya ili umwache

Kaombewe wewe mwenzio yuko salama
 
mpaka likufi**e ndo utastuka sio......achana nae....ndugu yako huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom