Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Jamani naomba msaada wenu.
Nina mchumba wangu nampenda sana. Ila anapepo linalomsumbua na nimejihakikishia kuwa hili pepo linanichukia mimi sana.
Hili limekuwa likimpanda tukifanya mapenzi. Akikaribia kufika kileleni anapoteza fahamu, mdomo unafunga na meno kukaza na hawezi fungua mdomo wala kuongea. Ninapojaribu kumuongelesha anaongea kwa ishara za mabubu. Ila nachoelewa ni kuwa ni kama vile ananiomba nimpeleke nyumbani.
Huweza poteza fahamu zaidi ya hata dakika 50. Na hurudisha fahamu baada ya kumwagia maji ya baraka na kumvalisha Rozari Takatifu.
Hii imetokea kwa mara ya Tatu hivi sasa. Anaporudisha fahamu huwa namueleza na anakataa kabisa kuwa hana mapepo na yupo sawa.
Hii mara ya mwisho nilimrecord video na kumuonesha baada ya kupata fahamu. Lakini bado anakataa mpaka sasa kuwa yupo sawa na hana mapepo.
Kibaya zaidi anachukia sana napomsisitiza kuwa anamapepo na aende kanisani kuombewa. Yani nikimsisitiza kwenda kanisani anapata hasira ya ajabu mpaka mimi naogopa.
Wakuu hebu nishauri nifanyeje hapa. Nampenda ila anamapepo na hataki kuombewa.
Na hili pepo ni kama vile ndyo linapeleka mwisho wa mapenzi yetu maana sikuhizi ni kama vile hanipendi baada ya kujua anapepo.
Na si ivyo tu. Nahisi hata hilo pepo linanisababishia misukosuko hata niweze kupoteza maisha. Hivi karibuni nimepata ajali ya gari ingawa gari lilikuwa written off, ila kwa neema za Mungu nilitoka salama bila hata mchubuko.
Biashara zangu nazo sikuhizi ni hasara tu. Sina bihshara kubwa kivile, ila ndani ya miezi mitatu ninahasara ya zaidi ya 20m, nakaribia hata kufirisika.
Nina mchumba wangu nampenda sana. Ila anapepo linalomsumbua na nimejihakikishia kuwa hili pepo linanichukia mimi sana.
Hili limekuwa likimpanda tukifanya mapenzi. Akikaribia kufika kileleni anapoteza fahamu, mdomo unafunga na meno kukaza na hawezi fungua mdomo wala kuongea. Ninapojaribu kumuongelesha anaongea kwa ishara za mabubu. Ila nachoelewa ni kuwa ni kama vile ananiomba nimpeleke nyumbani.
Huweza poteza fahamu zaidi ya hata dakika 50. Na hurudisha fahamu baada ya kumwagia maji ya baraka na kumvalisha Rozari Takatifu.
Hii imetokea kwa mara ya Tatu hivi sasa. Anaporudisha fahamu huwa namueleza na anakataa kabisa kuwa hana mapepo na yupo sawa.
Hii mara ya mwisho nilimrecord video na kumuonesha baada ya kupata fahamu. Lakini bado anakataa mpaka sasa kuwa yupo sawa na hana mapepo.
Kibaya zaidi anachukia sana napomsisitiza kuwa anamapepo na aende kanisani kuombewa. Yani nikimsisitiza kwenda kanisani anapata hasira ya ajabu mpaka mimi naogopa.
Wakuu hebu nishauri nifanyeje hapa. Nampenda ila anamapepo na hataki kuombewa.
Na hili pepo ni kama vile ndyo linapeleka mwisho wa mapenzi yetu maana sikuhizi ni kama vile hanipendi baada ya kujua anapepo.
Na si ivyo tu. Nahisi hata hilo pepo linanisababishia misukosuko hata niweze kupoteza maisha. Hivi karibuni nimepata ajali ya gari ingawa gari lilikuwa written off, ila kwa neema za Mungu nilitoka salama bila hata mchubuko.
Biashara zangu nazo sikuhizi ni hasara tu. Sina bihshara kubwa kivile, ila ndani ya miezi mitatu ninahasara ya zaidi ya 20m, nakaribia hata kufirisika.