rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,497
- 41,924
haa ha ha...Mkuu life begin at 40 komaa na mishe zako
haa ha ha...Mkuu life begin at 40 komaa na mishe zako
Akipokea pensheni sioYatakaa sawa akiwa na 50+...lol
Pensheni yenyewe itakuwa shin'ngapi,maana mpaka umri alonao huo hata genge la kienyeji hanaAkipokea pensheni sio
Hahahah itakuwa ishapunguzwa mpaka 5% so anaweza akapewa 150,000/=Pensheni yenyewe itakuwa shin'ngapi,maana mpaka umri alonao huo hata genge la kienyeji hana
Hahahahah huyu dogo chizi kweli yani 😅😅😅😅😅 hajui kuwa wanawake wa mjini maziwa hayatokagi
Hahahahah kwahio huu ni mtego wa kusaka ndoa kwa mlango wa uwani au sio?MKUUUU MKUU. Nimekuita kwa herufi kubwa ili unielewe vizuri yani Kama huna direction ya Maisha ebu achana na huyo MWANAMKE kama anakonmalia suala la kupata mimba yani kulea mtoto sio jambo rahisi hasa kama hukujipanga ni bora itokee bahati mbaya ila sio kupanga kupata mtoto na hujajipanga kimaisha utamtesa mtoto na wew utateseka sana ni bora ufikiri juu ya wewe utakula nini kuliko leo kuambiwa mtoto anaumwa inahitajika LAKI 2 au mama maziwa hayatoki kanunue maziwa ya kopo kaka acha tu nimepita huko ninachokwambia nakijjua vizuri.
Kingine huyo mwanamke anataka umuoe ila anashindwa namna ya kukushawishi lakini ngoja ajifungue huyo mtoto aisee kelele za LINI UNAENDA KUTOA MAHARI..LINI UTANIVISHA PETE YA UCHUMBA SIJUI KWAO WANASEMA LINI UTAENDA KUJITAMBULISHA.. WALAHI UTAJUTA. MWANAMKE AFATE MSIMAMO WAKO KUWA HUTAKI MTOTO KWA SASA. ikimchekea sasa nakwambia utakuja kujuta baadae.
Kuna mwanangu demu anamsumbua kwa swala hili hili yani sahizi anataka ndoa mwanzo alisumbua ishu ya mtoto!MKUUUU MKUU. Nimekuita kwa herufi kubwa ili unielewe vizuri yani Kama huna direction ya Maisha ebu achana na huyo MWANAMKE kama anakonmalia suala la kupata mimba yani kulea mtoto sio jambo rahisi hasa kama hukujipanga ni bora itokee bahati mbaya ila sio kupanga kupata mtoto na hujajipanga kimaisha utamtesa mtoto na wew utateseka sana ni bora ufikiri juu ya wewe utakula nini kuliko leo kuambiwa mtoto anaumwa inahitajika LAKI 2 au mama maziwa hayatoki kanunue maziwa ya kopo kaka acha tu nimepita huko ninachokwambia nakijjua vizuri.
Kingine huyo mwanamke anataka umuoe ila anashindwa namna ya kukushawishi lakini ngoja ajifungue huyo mtoto aisee kelele za LINI UNAENDA KUTOA MAHARI..LINI UTANIVISHA PETE YA UCHUMBA SIJUI KWAO WANASEMA LINI UTAENDA KUJITAMBULISHA.. WALAHI UTAJUTA. MWANAMKE AFATE MSIMAMO WAKO KUWA HUTAKI MTOTO KWA SASA. ikimchekea sasa nakwambia utakuja kujuta baadae.
Nilisubiri comment kama hii hatimaye nimeipataKuna dalili ya kuuziwa mzigo sio wako
Hiyo doctrine inafanya kazi vizuri tu,babymama wangu alipata mimba nikamwambia atoe maana sikuwa na mishe za uhakika,akagoma kutoa akanambia mbeleni mambo yatakuwa vizuri nitapata hela.Usipate mtoto ukitegemea hii doctrine ikubebe utapotea.
Itakua hujaelewa alichomaanisha na nilichomaanisha.Hiyo doctrine inafanya kazi vizuri tu,babymama wangu alipata mimba nikamwambia atoe maana sikuwa na mishe za uhakika,akagoma kutoa akanambia mbeleni mambo yatakuwa vizuri nitapata hela.
Asee tukaacha mimba ikakua mpaka babymama anaingia leba sina hela nikakopa laki kadhaa kwa rafiki zangu nikamnunulia mahitaji nikamtumia maana alienda kujifungulia kwao plus na zawadi za majirani zao huko akapata laki ya matumizi ila baada ya mwezi maisha yakaenda vizuri nikapata na kazi now mtoto kawa mkubwa ni furaha tu.
Okay,hiyo ya kuzaa sikusumbui haipo duniani labda uwe umekufaItakua hujaelewa alichomaanisha na nilichomaanisha.
Mwanamke akikuambia tuzae halafu nitalea usimuamini.
Ila hiyo ya acha tuzae mambo yatanyooka hiyo haina shida, shida ni kuamini yeye atalea huku wewe usihusike.
Na ndo jamaa analainishwa. Akijichanganya atafurahiOkay,hiyo ya kuzaa sikusumbui haipo duniani labda uwe umekufa