Mchumba wangu ana matatitizo ya kizazi hawezi kuzaa, kumuacha namuonea huruma, nifanyeje?

Kwa nini aasili mtoto wakati anaweza kuzalisha mtoto kwa mwanamke mwingine, kama shida ni mtoto akubaliane na mke wake azae nje apate mtoto.

Au kama anaweza aoe mke wa pili ambae ana uwezo wa kuzaa maisha yaende.

Kikubwa mimi namshauri atafte mtoto kwa mwanamke mwingine.

mi nimemshauri tu sasa ni jukumu lake kuona ushauri upi ni mzuri.
Huwezi jua yawezekana nayo hiyo ni mipango ya Mungu kuwa asiwe na mtoto. Kuna watu wamezaa na leo hii wanajuta kuzaa,watoto wamekuwa mzigo. Ni vyema asilazimishe kuzaa, ajiulize mara mbilimbili ni kwa nini Mungu kaamua iwe hivyo.
 
Miaka mitatu bado unasema mchumba?! Think twice mi ninavojua huyo ni mkeo....

Swala la kuzaa mtafte Yesu umwambie atakusaidia hanaga hiana
 
nashukuru sana kwa ushaur wenu wadau. nnaamin utanisaidia ktk kufanya maamuz yalio sahihi. mungu awabirik sana. amen,
 
hujaoa af unasema mkeo....kama vipi muoe muweke ndani kabisa af mjadili jinsi ya kupata watoto
 
Jamani naomba ushauri,

Mimi nina mchumba wangu ambae naishi nae lakini hatujafunga nae ndoa, huu ni mwaka wa 3, hajapata mimba na baada ya kwenda hospitali amegundlika kuwa ana matatizo na hawezi kuzaa! Kumuacha namuonea huruma kwani si kosa lake, nifanye nini?

Ushauri, matusi no plz!

Mi nakushauri endelea kumuonea huruma
 
Jamani naomba ushauri,

Mimi nina mchumba wangu ambae naishi nae lakini hatujafunga nae ndoa, huu ni mwaka wa 3, hajapata mimba na baada ya kwenda hospitali amegundlika kuwa ana matatizo na hawezi kuzaa! Kumuacha namuonea huruma kwani si kosa lake, nifanye nini?

Ushauri, matusi no plz!

Mkuu kwanza kuzini ni Dhambi maika yote unaishi na Mtt wa watu bila kufata utaratibu.....???? Ushauri wangu kwanza lazima ufunge nae NDOA sijui niwaumini wa IMANI ipi....Jambo jingine nataka ujue hakuna Mwanamke ambae hazai....Kukosa mtt kwa Mwanamke kuna sababishwa na mambo mengi hasa ASILI yakuzaliwa kwake....Hayo ni mambo ya kiroho...hivi unajua CANCER sio Ugonjwa wa kawaida ila ni UCHAWI.?...mimi kabla sijajua hayo mambo ya Asili yakuzaliwa kwa mtu kuwa yanafungamana na Mafanikio au kukwama kwetu nilikuwa nadharau sana....ila tangu nilipojua undani wa hayo mambo akili imenikaa sawa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom