Mie nakushauri achana na uzinzi,Iko kama ifuatavyo:-
1. Nilimpenda mdada fulani hapa Sengerema, muda huo alikuwa anasoma chuo cha ualimu huko mkoani Mbeya.
2. Ndugu zake walifahamu mahusiano yetu na hadi ilifikia kuitwa shemeji na dada zake.
Kisa:-
Nilianza kuchepuka na kibinti hapo mtaani. Aliporudi toka masomoni akapewa faili zima nami nikakanusha vikali. Alisafiri kwa mwezi, ndo akaniachia nafasi ya kukagegeda hako kasichana.
Juzi karejea akapewa umbea wote na aliponitafuta kunihoji ilibidi nikiri na kuahidi kutorudia alipanga kunitambulisha kwa dada yake lakini ameairisha, mama yake amejua skendo nzima, na nduguze wote wamejua.
Ameniambia hataki tena kuolewa na mimi kiukweli mimi nampenda na namtaka sana huyo mchumba wangu mhitimu wa ualimu ngazi ya cheti.
Mimi ni mwalimu kijijini kwao.
Nitumie mbinu gani kumshawishi tena?
Naomba ushauri, kama sijaeleweka jaribuni kujiongeza maana nimevurugika kiakili.
Mie nakushauri achana na uzinzi,Iko kama ifuatavyo:-
1. Nilimpenda mdada fulani hapa Sengerema, muda huo alikuwa anasoma chuo cha ualimu huko mkoani Mbeya.
2. Ndugu zake walifahamu mahusiano yetu na hadi ilifikia kuitwa shemeji na dada zake.
Kisa:-
Nilianza kuchepuka na kibinti hapo mtaani. Aliporudi toka masomoni akapewa faili zima nami nikakanusha vikali. Alisafiri kwa mwezi, ndo akaniachia nafasi ya kukagegeda hako kasichana.
Juzi karejea akapewa umbea wote na aliponitafuta kunihoji ilibidi nikiri na kuahidi kutorudia alipanga kunitambulisha kwa dada yake lakini ameairisha, mama yake amejua skendo nzima, na nduguze wote wamejua.
Ameniambia hataki tena kuolewa na mimi kiukweli mimi nampenda na namtaka sana huyo mchumba wangu mhitimu wa ualimu ngazi ya cheti.
Mimi ni mwalimu kijijini kwao.
Nitumie mbinu gani kumshawishi tena?
Naomba ushauri, kama sijaeleweka jaribuni kujiongeza maana nimevurugika kiakili.
[emoji35] ulitaka aish wap xxKijijini wafanya nini? Kumbe kuna watu waishi vijijini humu!!!
Aache kukuzingua kwani yy wakat anasoma huko chuo hakuna alie kua anamgegeda we kama huamini mwambie akuachie cm yake japo siku mojaIko kama ifuatavyo:-
1. Nilimpenda mdada fulani hapa Sengerema, muda huo alikuwa anasoma chuo cha ualimu huko mkoani Mbeya.
2. Ndugu zake walifahamu mahusiano yetu na hadi ilifikia kuitwa shemeji na dada zake.
Kisa:-
Nilianza kuchepuka na kibinti hapo mtaani. Aliporudi toka masomoni akapewa faili zima nami nikakanusha vikali. Alisafiri kwa mwezi, ndo akaniachia nafasi ya kukagegeda hako kasichana.
Juzi karejea akapewa umbea wote na aliponitafuta kunihoji ilibidi nikiri na kuahidi kutorudia alipanga kunitambulisha kwa dada yake lakini ameairisha, mama yake amejua skendo nzima, na nduguze wote wamejua.
Ameniambia hataki tena kuolewa na mimi kiukweli mimi nampenda na namtaka sana huyo mchumba wangu mhitimu wa ualimu ngazi ya cheti.
Mimi ni mwalimu kijijini kwao.
Nitumie mbinu gani kumshawishi tena?
Naomba ushauri, kama sijaeleweka jaribuni kujiongeza maana nimevurugika kiakili.
Mbinu ya mwisho ukipata chance piga mimba tu.
Aache kukuzingua kwani yy wakat anasoma huko chuo hakuna alie kua anamgegeda we kama huamini mwambie akuachie cm yake japo siku moja