iko kama ifuatavyo:-
1. nilimpenda mdada fulani hapa sengerema, muda huo alikuwa anasoma chuo cha ualimu huko mkoani mbeya.
2. ndugu zake walifahamu mahusiano yetu na hadi ilifikia kuitwa shemeji na Dada zake.
kisa:-
nilianza kuchepuka na kibinti hapo mtaani. aliporudi toka masomoni akapewa faili zima nami nikakanusha vikali.
alisafiri kwa mwezi, ndo akaniachia nafasi ya kukagegeda hako kasichana.
juzi karejea akapewa umbea wote na aliponitafuta kunihoji ilibidi nikiri na kuahidi kutorudia.
alipanga kunitambulisha kwa dada yake lkn ameairisha, mama yake amejua skendo nzima, na nduguze wote wamejua.
ameniambia hataki tena kuolewa na Mimi.
kiukweli mimi nampenda na namtaka sana huyo mchumba wangu mhitimu wa ualimu ngazi ya cheti.
Mimi ni mwalimu kijijin kwao.
nitumie mbinu gani kumshawishi tena?
naomba ushauri, make nimevurugika kiakili.