Mchumba wangu amegundua skendo zangu

Mchumba wangu amegundua skendo zangu

Statistics

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
3,762
Reaction score
8,003
Iko kama ifuatavyo:-

1. Nilimpenda mdada fulani hapa Sengerema, muda huo alikuwa anasoma chuo cha ualimu huko mkoani Mbeya.

2. Ndugu zake walifahamu mahusiano yetu na hadi ilifikia kuitwa shemeji na dada zake.

Kisa:-
Nilianza kuchepuka na kibinti hapo mtaani. Aliporudi toka masomoni akapewa faili zima nami nikakanusha vikali. Alisafiri kwa mwezi, ndo akaniachia nafasi ya kukagegeda hako kasichana.

Juzi karejea akapewa umbea wote na aliponitafuta kunihoji ilibidi nikiri na kuahidi kutorudia alipanga kunitambulisha kwa dada yake lakini ameairisha, mama yake amejua skendo nzima, na nduguze wote wamejua.

Ameniambia hataki tena kuolewa na mimi kiukweli mimi nampenda na namtaka sana huyo mchumba wangu mhitimu wa ualimu ngazi ya cheti.

Mimi ni mwalimu kijijini kwao.

Nitumie mbinu gani kumshawishi tena?

Naomba ushauri, kama sijaeleweka jaribuni kujiongeza maana nimevurugika kiakili.
 
iko kama ifuatavyo:-

1. nilimpenda mdada fulani hapa sengerema, muda huo alikuwa anasoma chuo cha ualimu huko mkoani mbeya.

2. ndugu zake walifahamu mahusiano yetu na hadi ilifikia kuitwa shemeji na Dada zake.



kisa:-
nilianza kuchepuka na kibinti hapo mtaani. aliporudi toka masomoni akapewa faili zima nami nikakanusha vikali.



alisafiri kwa mwezi, ndo akaniachia nafasi ya kukagegeda hako kasichana.

juzi karejea akapewa umbea wote na aliponitafuta kunihoji ilibidi nikiri na kuahidi kutorudia.


alipanga kunitambulisha kwa dada yake lkn ameairisha, mama yake amejua skendo nzima, na nduguze wote wamejua.


ameniambia hataki tena kuolewa na Mimi.


kiukweli mimi nampenda na namtaka sana huyo mchumba wangu mhitimu wa ualimu ngazi ya cheti.

Mimi ni mwalimu kijijin kwao.

nitumie mbinu gani kumshawishi tena?



naomba ushauri, kama sijaeleweka jaribuni kujiongeza make nimevurugika kiakili.

Mbinu ya mwisho ukipata chance piga mimba tu.
 
Eisee nimekujua wewe Huyo demu Mimi nitafunga nae ndoa mda sio mrefu
 
Wengi hamuwezi kuvumilia ndicho kinachowagharimu.
Mapenzi ni kuaminiana. Na km uaminifu ukitoweka bac na mapenzi yanatoweka.
Ni inauma sana kusikia mwenzako anacheat halafu ww haucheat.
Mkuu hapo ushampoteza, na hakuamini tena. Hata km akikubali kuwa na ww hawezi kukuamini na kukupenda km zamani.
Hapo ushampoteza.
Cha kukushauri, ww katoe mahari na ufanye harusi fasta. Vinginevyo utampoteza
 
Aaa ndo unamchezea dadangu namna hyo eeh! nilikuwa nakusikia tu leo umejisema mwenyewe.. jiandae kwa lolote ngja nikamwambiae bibi
 
Mmm dada wa watu katulia we unachepuka halafu unasema unampenda siku akisafiri miez si ndo utavuta mwingine kabisa. Tena mwalimu ambae ni kioo cha jamii hapo imekula kwako mkuu endelea tu na kamchepuko.
 
Back
Top Bottom