Wanawake bana. Kwahiyo akili ya huyo mwenzio kujiingiza ktk mahusiano wakati ana mtoto mdogo wa kunyonya huoni anatengeneza mazingira ya sintofahamu. Kwa akili ya kawaida tu unaweza kuanza kuhoji mtoto ni wa jamaa au vipi?Dear What the kid has to do na break up yao? I call it irresponsible parent to any Father does that.. Thanks..
Wanawake bana. Kwahiyo akili ya huyo mwenzio kujiingiza ktk mahusiano wakati ana mtoto mdogo wa kunyonya huoni anatengeneza mazingira ya sintofahamu. Kwa akili ya kawaida tu unaweza kuanza kuhoji mtoto ni wa jamaa au vipi?
Jamaa akimsusia atatafutwa tu. Au anaweza asitafutwe pia mtoto anaweza akawa yupo kwa babake. Mwanamke type hiyo hana maana hata kidogo.
Elimu yako na yake now dys hayo ni lzm yangetokea. Jipange upy kuanza sfr nyingineNdugu zangu mm ni kijana miaka 30,elimu yangu ni kidato cha 4. nina mchumba ambaye ukweli nnapenda sana, nimekuwa nae kwenye mahusiano, kuanzia 2014 alipo maliza tuu degree ya uhasibu pale tia, nilikutana nae mtaani tuu ndipo mahusiano yakaanza.
Tumebahatika kupata mtoto wa kike 19. 10 2015, mwenzagu kwa sababu anavyeti alikuwa amesha apply kazi sehemu tofauti tofauti na bahati nzuri 2015 alipata kazi selikarini. Alipo pangiwa sehemu ya kazi ikabidi tukubaliane mm nimfuate, ingawa kipindi hicho nilikuwa na umachinga wangu Dar, kweli baada ya miezi kadhaa mm niliamua kumfuata mpenzi wangu ili tuishi pamoja, maisha yamesonga ingawa mikwaruzano ya hapa na pale ni mingi tumeishi hivyo hivyo.
Mwezi wa kwanza walipewa maelekezo na tasisi waende kusoma, Short courses ya miezi 4, ameenda na mtoto baada ya wiki akamuachisha mtoto ziwa ili awe na muda mzuri wa kusoma mtoto akampeleka kwa bb yake huko huko dar. Kwa hili mm niliona ni sawa ili awe na muda mzuri wakujisomea maana mwisho wa siku wafanye tena mitihani.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri tuu. Muda wowote ule, baada ya wiki tatu, ndipo matatizo yalipoanza, kuna siku nilimpigia simu zote mbili zikawa hazipatikani, sikujua shida ni nini kwa sababu tulikuwa tumeshazoeshana kujulisha kwa kila hali mm hiyo siku nilipaniki nilipiga simu usiku mzima simu zikajapatikana saa 3 asubuhi kumuuliza anasema ziliisha chaji, wakati huo huo, usiku niliingia WhatsApp niliona last seen yake ilikuwa saa8:43 usiku.
Nilishidwa kuelewa, nilimtukana sana kwasababu ya hasira ila yy akawa ananicheka, nilimuambia kuongea na mm lazma anipe sababu za kuridhisha sikumuamini kwa sababu ya kuonekana online usiku.
Sikumtafuta nikiamini kwamba lazima anitafute angalau aniombe msamaha, imepita miezi 2 bila mawasiliano, nimekuja kusitukia sasa mm nnahitaji mawasiliano nae tayari yupo kwenye uhusiano mwingine huko huko chuo eti ameshachoka kusubili hasira zangu ziishe, na ananitamkia wazi hataki tena kuishi na mm sababu sijamtafuta miezi 2, nimelia sana nmemuomba mm kama nilikosa anisamehe aachane na jamaa hataki anasema nimeshachelewa kusolve tatizo.
Nnapiga cmu anakata nnatuma sms hazijibiwi, na hadi fb ameandika ameingia kwenye uhusiano mpya. Ndugu zangu nnalia sijui cha kufanya, ukweli nnampenda sana.
How sure r u the kid is his? mtoto yuko kwa babake (biological one)Still you didn't answer my question what the child has to do na mistake ya Huyo Dada? I think the baby has to be left out of this crazy mess na jamaa has to take care of that baby since the child is his .. Thanks..
Achana nae!Anafanya research ya mahusiano na ndoa siku akikamilisha ataamua mwenyewe aje kwako ama abaki kwingine!Ila bahati mbaya hiyo research huchukua muda mrefu inaweza kuisha akishaanza kuzeekaNdugu zangu mm ni kijana miaka 30,elimu yangu ni kidato cha 4. nina mchumba ambaye ukweli nnapenda sana, nimekuwa nae kwenye mahusiano, kuanzia 2014 alipo maliza tuu degree ya uhasibu pale tia, nilikutana nae mtaani tuu ndipo mahusiano yakaanza.
Tumebahatika kupata mtoto wa kike 19. 10 2015, mwenzagu kwa sababu anavyeti alikuwa amesha apply kazi sehemu tofauti tofauti na bahati nzuri 2015 alipata kazi selikarini. Alipo pangiwa sehemu ya kazi ikabidi tukubaliane mm nimfuate, ingawa kipindi hicho nilikuwa na umachinga wangu Dar, kweli baada ya miezi kadhaa mm niliamua kumfuata mpenzi wangu ili tuishi pamoja, maisha yamesonga ingawa mikwaruzano ya hapa na pale ni mingi tumeishi hivyo hivyo.
Mwezi wa kwanza walipewa maelekezo na tasisi waende kusoma, Short courses ya miezi 4, ameenda na mtoto baada ya wiki akamuachisha mtoto ziwa ili awe na muda mzuri wa kusoma mtoto akampeleka kwa bb yake huko huko dar. Kwa hili mm niliona ni sawa ili awe na muda mzuri wakujisomea maana mwisho wa siku wafanye tena mitihani.
Tulikuwa tunawasiliana vizuri tuu. Muda wowote ule, baada ya wiki tatu, ndipo matatizo yalipoanza, kuna siku nilimpigia simu zote mbili zikawa hazipatikani, sikujua shida ni nini kwa sababu tulikuwa tumeshazoeshana kujulisha kwa kila hali mm hiyo siku nilipaniki nilipiga simu usiku mzima simu zikajapatikana saa 3 asubuhi kumuuliza anasema ziliisha chaji, wakati huo huo, usiku niliingia WhatsApp niliona last seen yake ilikuwa saa8:43 usiku.
Nilishidwa kuelewa, nilimtukana sana kwasababu ya hasira ila yy akawa ananicheka, nilimuambia kuongea na mm lazma anipe sababu za kuridhisha sikumuamini kwa sababu ya kuonekana online usiku.
Sikumtafuta nikiamini kwamba lazima anitafute angalau aniombe msamaha, imepita miezi 2 bila mawasiliano, nimekuja kusitukia sasa mm nnahitaji mawasiliano nae tayari yupo kwenye uhusiano mwingine huko huko chuo eti ameshachoka kusubili hasira zangu ziishe, na ananitamkia wazi hataki tena kuishi na mm sababu sijamtafuta miezi 2, nimelia sana nmemuomba mm kama nilikosa anisamehe aachane na jamaa hataki anasema nimeshachelewa kusolve tatizo.
Nnapiga cmu anakata nnatuma sms hazijibiwi, na hadi fb ameandika ameingia kwenye uhusiano mpya. Ndugu zangu nnalia sijui cha kufanya, ukweli nnampenda sana.
According on his thread the baby was born in October ,2015 during this time everything was okay ingawaje some problem za hapa na pale za relationship zilikuwepo but it was not cheating involve and he did not say that he has doubt ya kuhusu the baby if she is his or not ... About grandma I did not see kwa thread kama the baby yuko kwa grandma wa baba or mama , it just grandma Dar.. And you dear, you tried to convince him asuse the baby hadi mama aamtafute , why it has to be that way? And why the inocent blood a new born has to pay something she did not create ?? He is not suppose to do that.. He has to be responsible for his daughter unless his ex says that baby is not his ( which I doubt it )... I hope you got my point .. Thanks..How sure r u the kid is his? mtoto yuko kwa babake (biological one)
Hao wanaokuja kugundua watoto sio wa kwao wanakuwa katika mazingira yapi? Kifupi huyo mwanamke mwehu. A kid needs both parents' attention, love n care. Huo upuuzi alioanzisha huyo mwanamke ataumaliza mwenyewe. Asusiwe mtoi tuAccording on his thread the baby was born in October ,2015 during this time everything was okay ingawaje some problem za hapa na pale za relationship zilikuwepo but it was not cheating involve and he did not say that he has doubt ya kuhusu the baby if she is his or not ... About grandma I did not see kwa thread kama the baby yuko kwa grandma wa baba or mama , it just grandma Dar.. And you dear, you tried to convince him asuse the baby hadi mama aamtafute , why it has to be that way? And why the inocent blood a new born has to pay something she did not create ?? He is not suppose to do that.. He has to responsible for his daughter unless his ex says that baby is not his ( which I doubt it )... I hope you got my point .. Thanks..
Nataka nikuoe dada je tutawezana....mimi standard seven na wewe phD holder.....???Dear If I was you ..as bitter as it is ningeshukuru Mungu for the everything .. Huyo hakuwa wako my Kaka subiri wako anakuja.. Just move on by taking a time off on dating for a while .. Take care of your child with all your heart .. Invest your time on Praying, your child and work.. Na God will heal you.. Dont worry huyo yakimmshindwa mbona atakukumbuka na kurudi kwa kasi kwako.. But never take her back because hakuthamini Upendo wako bali alithamini money , forget her dear , she is not worthy for your tears to come out ... Nakuhakikishia she will pay for your tears huko ataaishia kuchezewa na kupotezewa muda .. Why? For what she did to you.. Unajua ni bora MTU akucheat , au ku lie then can do that the way she did.. But you didnt ... Ni wivu tuu wa kummpenda ... Sasa wait the outcome yake ya ku reap for what she sowed .. Soon it will come .. Pole sana... Thanks..
Yote yanawezekana. Lakini sio rahisi hivyo. Mapenzi yanauma zaidi ya mwiba mguuni. Wewe yasikie tu kwa mwenzioAnza kutumia ubongo wako. Usiache moyo ukutawale. Utabaki una lilia lia tu. Cha kufanya mwambie we unataka kumtunza mwanao . Achana na huyo mdada.
Ye amesha Pata maisha mapya na wewe tafuta yako. Kuwa mwanaume acha kulia lia.
Haaaahhhaaaaaaa.... Thanks..Nataka nikuoe dada je tutawezana....mimi standard seven na wewe phD holder.....???
Joke
Hahahaaaa....lakini ni kwanini nyinyi wanawake wasomi manatukataa sisi tusiosoma.....??Haaaahhhaaaaaaa.... Thanks..
Huyo wake atakuja kama HANA PESA?Dear If I was you ..as bitter as it is ningeshukuru Mungu for the everything .. Huyo hakuwa wako my Kaka subiri wako anakuja.. Just move on by taking a time off on dating for a while .. Take care of your child with all your heart .. Invest your time on Praying, your child and work.. Na God will heal you.. Dont worry huyo yakimmshindwa mbona atakukumbuka na kurudi kwa kasi kwako.. But never take her back because hakuthamini Upendo wako bali alithamini money , forget her dear , she is not worthy for your tears to come out ... Nakuhakikishia she will pay for your tears huko ataaishia kuchezewa na kupotezewa muda .. Why? For what she did to you.. Unajua ni bora MTU akucheat , au ku lie then can do that the way she did.. But you didnt ... Ni wivu tuu wa kummpenda ... Sasa wait the outcome yake ya ku reap for what she sowed .. Soon it will come .. Pole sana... Thanks..
Yaani mwanaume wa leo bado unalilia mwanamke?...inbox nikugawie dada yangu.