D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,728
- 4,172
Mi kuna demu alkuwa anakuja pale home rafiki ake sista daah ni mkali hatari siku moja nkamuazima Simu yake nkampigia daah akasema hana mchumba ghafla akaenda sweden kakaa kama mwaka hivi akarudi mi hapo npo form two yey ndo alihamia sweden alivyorudi nlikuwa form three basi bwana kuna jirani yetu akaniambia kuna demu kakutana nae church kachukua namba akasema nimsindikize wakaonane nae basi île kwenda nkakuta yule demu.
ikabidi nitulie maana sikuwahi kumtongoza akapiga stori na jamaa mi nipo tu kwa mbali namcheki .
kurudi nyumbani nkaiba Simu ya sista nkachukua namba nikarudisha palepale usiku nkampigia yule demu nkamwambia kwa hiyo ameamua kuniumiza akaniuliza why?.
nkamwambia kumuona na mshikaji nimeumia mno u cant believe!! waliacha siku hiyohiyo demu akasema mi ndo alinpenda toka hajaenda hata sweden ila alijua ipo siku kilio chake kitasikilizwa basi kesho yake nkamuita nyuma ya hoteli flan tukaongea kesho yake nkachapa na kuchapa na kuchapa zaidi yaan ni mmoja kati ya wanawake nliowapenda zaidi kabla ya kuumizana na kuachana nampenda Sana hata sasa ingawa sipo tayari kurudiana nae
vipi kuhusu wewe ulimpata wapi na ilikuwaje ?
ikabidi nitulie maana sikuwahi kumtongoza akapiga stori na jamaa mi nipo tu kwa mbali namcheki .
kurudi nyumbani nkaiba Simu ya sista nkachukua namba nikarudisha palepale usiku nkampigia yule demu nkamwambia kwa hiyo ameamua kuniumiza akaniuliza why?.
nkamwambia kumuona na mshikaji nimeumia mno u cant believe!! waliacha siku hiyohiyo demu akasema mi ndo alinpenda toka hajaenda hata sweden ila alijua ipo siku kilio chake kitasikilizwa basi kesho yake nkamuita nyuma ya hoteli flan tukaongea kesho yake nkachapa na kuchapa na kuchapa zaidi yaan ni mmoja kati ya wanawake nliowapenda zaidi kabla ya kuumizana na kuachana nampenda Sana hata sasa ingawa sipo tayari kurudiana nae
vipi kuhusu wewe ulimpata wapi na ilikuwaje ?