Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 245
ahh raha kweli kweli
mpangiane zamu km vip
usiwe unafanya peke ako
wewe fanya j3 mpk j5 yeye alh mpk jumamos
jumapil afta chach muwe na genearal klniles muwe mnafanya pamoja
mhh kuna mkaka mmoja ana tatizo ilo...mkewe kutandika kitanda mwiko mashuka yapo vululu lulu ..shuka linakaa ata siku 8 kitandan na ili joto jaman dah...na choo kipo ndan bas kusafisha akuna tiles nyeussssssssssssssssss...full kunuka sink km la choo chamnaz mmoja puuuhhh!!!!!!!!!!!kinyaaaa hatar
ndo mnao iba waume za watu nyieeeeeeee. wewe chumbani kwa mkaka ulikwenda kufanya nini?
Hakuna kitu kilichonifurahisha kama self analysis yako na kukubali mapungufu.
You are one step ahead, ninakushauri kaa mjadili bila kutumia ukali; make her reason with you na especially hiyo ya kula junk food. Lakini kama wote ni wafanyakazi, mnaweza kuhire a help, mtu akawa anakuja anafanya usafi na kufua at least 4 times a week, huku mkijipanga jinsi ya kujitegemea.
Nina uhakika sababu ya kumpenda ni zaidi ya kuwa mfanyakazi wa nyumbani; hivyo basi, hizo shughuli mjadiliane zitafanyika vipi coz lazima zifanyike; mwambie aje na suggestion.
hakuna usafi uliopitiliza ila ni uchafu uliopitiliza nampongeza kwa usafi wake na kugundua kasoro za huyo dada mi nawashauri wa kaka kabla ya kuoa wawe wanafanya test ya hivi
Pole sana kaka usiendelee kuumiza kichwa we unafaa kuwa mme kweli leta mdada wa kufanya kazi wa siku moja halafu akimaliza shughuli msifie mbele yake kwa kukejeli mwambie naomba mfundishe mchumba wangu kazi akileta mizengwe hapo ndo pa kuanza kumpaka
Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa anasoma mkoa mwingine nami mwingine. Lakini hii haikupunguza mapenzi yetu maana tulikuwa tunawasiliana na kutembeleana mara kwa mara.
Sasa alimaliza chuo na kuanza kazi, na mimi pia nina kwangu. Tukawa tuko close zaidi na siku moja moja tunakaa pamoja nyumbani. Hili kufanya mambo yaende kwa heshima, tukafikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi rasmi na kuanza kujipanga kwa ajili ya mahari na ndoa
Kuna tabia ambazo nimezigundua zinanikera na ninaomba ushauri.
1. Huyu binti ni mvivu
Anapenda kukaa kuangalia moviez tu. Moviez, kuchat thats it. Nyumba chafu nasafisha mwenyewe. Kila kitu kipo ndani(jiko, chakula), hataki kupika eti mpaka awe kwenye mood kwahiyo tunaishia kula chips. Nguo zangu chafu(hata za kwake) kufua ugomvi.
2. Kisirani
Mtu wa visirani, kujibu, kununa.
Sasa tunaelekea kwenye mahari lakini kichwa changu kinawaka moto. Hivi tu kwenye ndoa bado, tukiwa ndani ya ndoa si itakuwa balaa?
Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha.
Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?!
Ushauri
yaelekea wewe ni msafi kupitiliza na kwa mimi wanaume wa jinsi hiyo huwa ni wasumbufu sana kwa wapenzi wao ama inawezekana wewe ni bahili sana sasa kutaka mkale chips anakukomoa tu, jirekebishe upande wako halafu na yeye mueleze ukweli lakini pia usifanye haraka kutangaza ndoa. mpaka sasa naamini hamuendani!
Hata kupika aje house help? Hata kufua nguo delicate? Ila kama kakulia maisha ya kimasaki si ajabu, mchukulie alivyo, ttafuteni ma house help, na hakikisha kwako watu hawaji mara nyingi utapoteza hadhi yako katika jamii. Andika bandiko hili kwako, 'MBWA MKALI 24 HOURS A DAY, HALALI HACHOKI'.
Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa anasoma mkoa mwingine nami mwingine. Lakini hii haikupunguza mapenzi yetu maana tulikuwa tunawasiliana na kutembeleana mara kwa mara.
Sasa alimaliza chuo na kuanza kazi, na mimi pia nina kwangu. Tukawa tuko close zaidi na siku moja moja tunakaa pamoja nyumbani. Hili kufanya mambo yaende kwa heshima, tukafikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi rasmi na kuanza kujipanga kwa ajili ya mahari na ndoa
Kuna tabia ambazo nimezigundua zinanikera na ninaomba ushauri.
1. Huyu binti ni mvivu
Anapenda kukaa kuangalia moviez tu. Moviez, kuchat thats it. Nyumba chafu nasafisha mwenyewe. Kila kitu kipo ndani(jiko, chakula), hataki kupika eti mpaka awe kwenye mood kwahiyo tunaishia kula chips. Nguo zangu chafu(hata za kwake) kufua ugomvi.
2. Kisirani
Mtu wa visirani, kujibu, kununa.
Sasa tunaelekea kwenye mahari lakini kichwa changu kinawaka moto. Hivi tu kwenye ndoa bado, tukiwa ndani ya ndoa si itakuwa balaa?
Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha.
Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?!
Ushauri
Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa anasoma mkoa mwingine nami mwingine. Lakini hii haikupunguza mapenzi yetu maana tulikuwa tunawasiliana na kutembeleana mara kwa mara.
Sasa alimaliza chuo na kuanza kazi, na mimi pia nina kwangu. Tukawa tuko close zaidi na siku moja moja tunakaa pamoja nyumbani. Hili kufanya mambo yaende kwa heshima, tukafikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi rasmi na kuanza kujipanga kwa ajili ya mahari na ndoa
Kuna tabia ambazo nimezigundua zinanikera na ninaomba ushauri.
1. Huyu binti ni mvivu
Anapenda kukaa kuangalia moviez tu. Moviez, kuchat thats it. Nyumba chafu nasafisha mwenyewe. Kila kitu kipo ndani(jiko, chakula), hataki kupika eti mpaka awe kwenye mood kwahiyo tunaishia kula chips. Nguo zangu chafu(hata za kwake) kufua ugomvi.
2. Kisirani
Mtu wa visirani, kujibu, kununa.
Sasa tunaelekea kwenye mahari lakini kichwa changu kinawaka moto. Hivi tu kwenye ndoa bado, tukiwa ndani ya ndoa si itakuwa balaa?
Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha.
Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?!
Ushauri
loh The secretary ni kweli kabisa....
Huyo binti ana kipaji maalum cha uvivu aisee.....
Sipati picha akiolewa halafu awe ananyonyesha maweeeeeeeee
nahisi atakuwa anachuruzika maziwa..... Nepi zenye nnya ya mtoto kuanzia uvunguni mwa kitanda hadi kibarazani.....
Mlima wa vyombo vichafu......
Nywele hazitamaniki....
Katoto katakuwa kananuka mikojo......tongotongo uso mzima....
Mmmmh walaahhhhhhhhh kazi ipo