- Thread starter
- #21
muache usote kitaa..
sasa km kawapigia walengwa na kupiga ban ww unataka nn tena.
Nnachofikiria hiyo ban siyo ya kuzuga kweli nataka aoneshe kwa matendo
muache usote kitaa..
sasa km kawapigia walengwa na kupiga ban ww unataka nn tena.
yeah naelewa..kama kweli bado unampenda msamehe..kama akirudia kosa basi mpige chini..mana hakuna namna
u r welcum mkuuAsante kwa ushauri kwa kwel itakuwa hakuna jinsi tena
Naamini mko salama sana wanajukwaa hili pendwa.
Humu nafurahi kwani nakutana na mengi ya kufunza hasa kwa sisi tunaotazamia kuja kuwa wanandoa
Hapa nina tatizo kidogo na mchumba wangu nilifuma text za madada kama wa3 hivi na wote anachati nao kama wapenzi wake.
Nilichofanya nilimuonesha zile text akachanganyikiwa.akatoka akajifungia kwa gari yake then akarudi rum akalala mie wala sikumuhoji nikalala pia.
Kesho yake nikaenda job kama kawaida wala hatukuongea lolote.jioni tukalala pia hatukuongea baada ya kuona hivyo nikaamka asubuhi sana nikamwambia imetosha ndo mwisho wangu na yeye akanipigia magoti na kuanza kulia anaomba msamaha.
Akawapigia hao watu mbele yangu akawaambia wasijuane then alikuwa na safari akasafiri
Toka aondoke hii ni siku ya nne sipokei Simu yake bado namfikiria
Emu wakuu mtu kama huyu ni husband material kweli au nimekuwa nae kwa mda mrefu kidogo
Ushauri wenu wakuu,
Bado siko happy na yeye nafikiri japo ajue ni kiasi gani nimeumia .hawezi kunywa sumu
nipe kadi ya mchango wa harusitupo hatua za mwisho kabisa mahari keshalipa na tarehe ya ndoa ni oct.