Mchumba na michepuko

Mchumba na michepuko

loyda

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
436
Reaction score
128
Naamini mko salama sana wanajukwaa hili pendwa.
Humu nafurahi kwani nakutana na mengi ya kufunza hasa kwa sisi tunaotazamia kuja kuwa wanandoa

Hapa nina tatizo kidogo na mchumba wangu nilifuma text za madada kama wa3 hivi na wote anachati nao kama wapenzi wake.

Nilichofanya nilimuonesha zile text akachanganyikiwa.akatoka akajifungia kwa gari yake then akarudi rum akalala mie wala sikumuhoji nikalala pia.
Kesho yake nikaenda job kama kawaida wala hatukuongea lolote.jioni tukalala pia hatukuongea baada ya kuona hivyo nikaamka asubuhi sana nikamwambia imetosha ndo mwisho wangu na yeye akanipigia magoti na kuanza kulia anaomba msamaha.
Akawapigia hao watu mbele yangu akawaambia wasijuane then alikuwa na safari akasafiri
Toka aondoke hii ni siku ya nne sipokei Simu yake bado namfikiria

Emu wakuu mtu kama huyu ni husband material kweli au nimekuwa nae kwa mda mrefu kidogo

Ushauri wenu wakuu,
 
ila siyo fresh kuchunguzana simu wakati hata hamjaonana bado, angekuwa mumeo ningeona poa tu, ila kwa sasa wewe na wale wote hadhi sawa tu

mwenzio kajiwekea viporo vyake hapo just in case we ukizingua, we unaanza kukaba hadi penati looooh
 
na wewe umetekwa huyo bwana ako boko haram unakaa kwake bila kuolewa wewe mwenyewe ni mchepuko

olewa kwanza ndio tukushauri
 
loyda, haya mambo ni kawaida kwa baadhi ya wanaume !! Take it easy bidada .. acha maisha ya songe mbele !! Wee mtunze Rijali wako.... Siku hizi bidhaa hii ni adimu sana!! ( ukimtupa tu, wengine watambeba )
 
Last edited by a moderator:
ila siyo fresh kuchunguzana simu wakati hata hamjaonana bado, angekuwa mumeo ningeona poa tu, ila kwa sasa wewe na wale wote hadhi sawa tu

mwenzio kajiwekea viporo vyake hapo just in case we ukizingua, we unaanza kukaba hadi penati looooh

Keshalipa mahari bado ndoa tu
 
na wewe umetekwa huyo bwana ako boko haram unakaa kwake bila kuolewa wewe mwenyewe ni mchepuko

olewa kwanza ndio tukushauri

Tupo hatua za mwisho kabisa mahari keshalipa na tarehe ya ndoa ni Oct.
 
na wewe umetekwa huyo bwana ako boko haram unakaa kwake bila kuolewa wewe mwenyewe ni mchepuko

olewa kwanza ndio tukushauri

Tupo hatua za ndoa sasa
 
Khaa!! Yaani vimeseji viwili vitatu na akakuomba msamaha ndiyo hats Simu usipokee?? Pokea Simu bana kisha umwambie Kuwa bado unamfikiria. Akinywa sumu kesi yako
 
ila siyo fresh kuchunguzana simu wakati hata hamjaonana bado, angekuwa mumeo ningeona poa tu, ila kwa sasa wewe na wale wote hadhi sawa tu

mwenzio kajiwekea viporo vyake hapo just in case we ukizingua, we unaanza kukaba hadi penati looooh

Kwikwikwi....VIPORO.
 
Nisaidie macho ya ndani...nione kama uonavyo wewe.......ndg yangu...Mungu anakuonyesha mbivu na mbichi mapemaaaa....wakati ndio huu....
 

Attachments

  • 1430146853881.jpg
    1430146853881.jpg
    24.3 KB · Views: 389
yani umepigiwa magoti na kilio juu ila bado unajifanya unakaza..??..watu wengi wanacheat siku hizi..kumpata mtu ambaye anajutia kosa ni jambo la kushukuru pia...hasa we mpige chini uje kupata mwingine akuunge machozi band
 
Nisaidie macho ya ndani...nione kama uonavyo wewe.......ndg yangu...Mungu anakuonyesha mbivu na mbichi mapemaaaa....wakati ndio huu....
tofauti kati ya cheater na mwaminifu in kwamba mmoja kakamatwa na mwingine anabahati
 
Keshalipa mahari bado ndoa tu

hata kama.....

ila mkiendelea na tabia hiyo ya kukaguliana simu ujue hiyo ndoa haitadumu, simu zina mambo asikwambie mtu
 
Khaa!! Yaani vimeseji viwili vitatu na akakuomba msamaha ndiyo hats Simu usipokee?? Pokea Simu bana kisha umwambie Kuwa bado unamfikiria. Akinywa sumu kesi yako

Bado siko happy na yeye nafikiri japo ajue ni kiasi gani nimeumia .hawezi kunywa sumu
 
muache usote kitaa..
sasa km kawapigia walengwa na kupiga ban ww unataka nn tena.
 
yani umepigiwa magoti na kilio juu ila bado unajifanya unakaza..??..watu wengi wanacheat siku hizi..kumpata mtu ambaye anajutia kosa ni jambo la kushukuru pia...hasa we mpige chini uje kupata mwingine akuunge machozi band

aaaaha watu mna maneno humu loh
 
yani umepigiwa magoti na kilio juu ila bado unajifanya unakaza..??..watu wengi wanacheat siku hizi..kumpata mtu ambaye anajutia kosa ni jambo la kushukuru pia...hasa we mpige chini uje kupata mwingine akuunge machozi band

Nafahamu hilo na ndo mana navumilia ila nataka ajue kwamba inanipain sana asichukulie easy next time
 
hata kama.....

ila mkiendelea na tabia hiyo ya kukaguliana simu ujue hiyo ndoa haitadumu, simu zina mambo asikwambie mtu

Nafahamu hayo nina miezi labda 4 sikuwahi gusa simj yake bt ni bora kujua kuliko kutojua sisi binadam tunajisahau sana waweza sema hvyo kumbe mwenzako upo nae na huku keshazaa na mtoto huko lol
 
Nafahamu hilo na ndo mana navumilia ila nataka ajue kwamba inanipain sana asichukulie easy next time
yeah naelewa..kama kweli bado unampenda msamehe..kama akirudia kosa basi mpige chini..mana hakuna namna
 
Back
Top Bottom