Naamini mko salama sana wanajukwaa hili pendwa.
Humu nafurahi kwani nakutana na mengi ya kufunza hasa kwa sisi tunaotazamia kuja kuwa wanandoa
Hapa nina tatizo kidogo na mchumba wangu nilifuma text za madada kama wa3 hivi na wote anachati nao kama wapenzi wake.
Nilichofanya nilimuonesha zile text akachanganyikiwa.akatoka akajifungia kwa gari yake then akarudi rum akalala mie wala sikumuhoji nikalala pia.
Kesho yake nikaenda job kama kawaida wala hatukuongea lolote.jioni tukalala pia hatukuongea baada ya kuona hivyo nikaamka asubuhi sana nikamwambia imetosha ndo mwisho wangu na yeye akanipigia magoti na kuanza kulia anaomba msamaha.
Akawapigia hao watu mbele yangu akawaambia wasijuane then alikuwa na safari akasafiri
Toka aondoke hii ni siku ya nne sipokei Simu yake bado namfikiria
Emu wakuu mtu kama huyu ni husband material kweli au nimekuwa nae kwa mda mrefu kidogo
Ushauri wenu wakuu,
Humu nafurahi kwani nakutana na mengi ya kufunza hasa kwa sisi tunaotazamia kuja kuwa wanandoa
Hapa nina tatizo kidogo na mchumba wangu nilifuma text za madada kama wa3 hivi na wote anachati nao kama wapenzi wake.
Nilichofanya nilimuonesha zile text akachanganyikiwa.akatoka akajifungia kwa gari yake then akarudi rum akalala mie wala sikumuhoji nikalala pia.
Kesho yake nikaenda job kama kawaida wala hatukuongea lolote.jioni tukalala pia hatukuongea baada ya kuona hivyo nikaamka asubuhi sana nikamwambia imetosha ndo mwisho wangu na yeye akanipigia magoti na kuanza kulia anaomba msamaha.
Akawapigia hao watu mbele yangu akawaambia wasijuane then alikuwa na safari akasafiri
Toka aondoke hii ni siku ya nne sipokei Simu yake bado namfikiria
Emu wakuu mtu kama huyu ni husband material kweli au nimekuwa nae kwa mda mrefu kidogo
Ushauri wenu wakuu,