Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,652
- 5,634
Habbari zenu humu jamvini,mie ni kijana wa kiume najitokeza humu kumtafuta bint/msichana ambaye nitaweza kumuoa ili tuweze kuliendeleza kurudumu hili la maisha,Vigezo vyangu mimi kwanza awe amehifadhi juzuu 30 ama nusu yake,akiwa ameajiriwa au kujiajiri itakuwa sio mbaya,umri wake asizidi miaka 30,aliye yayari ani-pm