Kwanza kabisa natanguliza shukrani kwa jf nzima kwa namna inavyosaidia kubadilisha maisha yetu, jf ilinisaidia kupata kazi enzi hizo nimemaliza chuo kikuu.
Baada ya shukrani naomba mdada mzuri anayeishi Dar ambaye yupo tayari kufanya maisha na mimi awasiliane na mimi kupitia 0654 531 647. Sina utajiri mkumbwa ila na ka gari walau daladala tutaziepuka na ka nyumba kigamboni.
Asanteni sana
Updates....
Hali bado haijakaa sawa, wadada hamjitokezi mmekimbilia wapi niwafuate hukohuko?
Baada ya shukrani naomba mdada mzuri anayeishi Dar ambaye yupo tayari kufanya maisha na mimi awasiliane na mimi kupitia 0654 531 647. Sina utajiri mkumbwa ila na ka gari walau daladala tutaziepuka na ka nyumba kigamboni.
Asanteni sana
Updates....
Hali bado haijakaa sawa, wadada hamjitokezi mmekimbilia wapi niwafuate hukohuko?