Mambo yalikuwa mengi mkuu..Tukutane kwa Wema kama vipiShughuli imeanza toka asubuhi na inategemewa kuisha muda wowote.
Kaboom mpaka sasa hajafika, anaweza kuta tumeshaondoka kwenda beach.
Duuh..Mkuu unaanzaje kumtamani mtt wa swahiba yako..Huyu kama mwanangu piateh... baada ya kujua ni mtoto wa kiume...nadhan mood imekata
Njoo na wife kwa Wema..
teh...Teh teh..@sumbai ni Budege..Yeye hachagui..Sio wa kumpeleka nyumbani huyo
nlitaka kujua aina ya zawadi inayo mfaa mkuuu...
teh haya mkuu...raimundoUmesomeka mkuu, itabidi utume tu MPESA tumnunulie hiyo zawadi
Hii ndio inaitwa kufukiri nje ya boksiOngea na mwanamme mwenzi...huenda mchumbako anakuambia ukae naye mbali ili aendelee kuwahudumia wote....shituka