DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
Watu mko delusional sana. Baki na fikara zako, na mimi nitabaki na zangu. End if storyJinsi ulivyo mjudge hapo mwisho sasa huyo ndo yeye halisi
Mwanamke anapoamua kuwasiliana nae lazima ajue mtu huyu sio smart ,sura yake ipo serious mazingira anatoka ni ya maisha ya kawaida yaani hivo unavyotaka jamaa asiwe basi ndo inabidi avionyeshe mwanzoni kbs mwa kutafuta mchumba...
Mtu anayetaka kupata mpenzi mtandaoni yampasa awe really kwelikweli kitabia muonekano na mavazi ili apate mtu size yake..
Wanaume km huyo jamaa wapo wengi tu mtaani na wameoa wana familia...
Bro hayo ndo maisha yake halisi ambayo anapaswa kuyaonyesha from beginning.