kibokoyamabishoo
Member
- Nov 8, 2016
- 40
- 21
Muda utafika tuSina sifa no 1 & 2 , tusio wazuri tupendwe na nani sasa dah
mimi nipoSina sifa no 1 & 2 , tusio wazuri tupendwe na nani sasa dah
Kumbe haka kaugonjwa kako eeh, juz tu sijui nani yule ulimwambia aache wote mbona leo unafungua ka branch
Kumbe haka kaugonjwa kako eeh, juz tu sijui nani yule ulimwambia aache wote mbona leo unafungua ka branch
Hautaweza kiapo changu cha damu, ukichepuka tu una rest in peace.Hivi vibranch vitanisaidia wakati wa kumwagwa na wale wengine ukifika 😃
Nasubiri siku ifike tu mambo yakikamilika nifungue branch na kwako
Basi bora nisithubutu kujiweka kwakoHautaweza kiapo changu cha damu, ukichepuka tu una rest in peace.
You can try your luck, you never no.Basi bora nisithubutu kujiweka kwako
Hahaaa, atleast umetupa moyo, wengine utaskia anataka mzuri ,kama anaenda kumpika soup banamimi nipo
Thank you kama vipi uwe ushafika now ,na uwe ndye weweeMuda utafika tu
wengine wakina nani...mimi na wewe tu.Hahaaa, atleast umetupa moyo, wengine utaskia anataka mzuri ,kama anaenda kumpika soup bana
Afu nikusemelee kwa ,,,,,, ajue kabisa wewe ndye umeandika hapo!wengine wakina nani...mimi na wewe tu.
Mstari wa mwisho umenifanya nibadili mawazo ya kuja PMHabari wanajf,
Natafuta mchumba wakike,
Mm nikijana mfanyabishara hvyo natafuta mchumba awe mfanyabishara pia au muajiliwa serikalin
Sifa zingine ni Kama ifuatavyo
1.umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri
3.Awe nachura kidogo
4.Asiwe mfupi sana na asiwe mrefu sana
5.Rangi yoyote
6.Dini mkristo
7.Ukiwa dar utapewa kiaumbele zaidi
Kwaalie tayali kalibu PM
kwa nani?Afu nikusemelee kwa ,,,,,, ajue kabisa wewe ndye umeandika hapo!
Ahaaa, nimtajeee,shauri yako Mrkwa nani?
@bbade unaitwa huku na financial servicesAhaaa, nimtajeee,shauri yako Mr
Umri zero pia bado hawajakuwa .Habari wanajf,
Natafuta mchumba wakike,
Mm nikijana mfanyabishara hvyo natafuta mchumba awe mfanyabishara pia au muajiliwa serikalin
Sifa zingine ni Kama ifuatavyo
1.umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri
3.Awe nachura kidogo
4.Asiwe mfupi sana na asiwe mrefu sana
5.Rangi yoyote
6.Dini mkristo
7.Ukiwa dar utapewa kiaumbele zaidi
Kwaalie tayali kalibu PM