acha kulialia, acha kelele na acha kuropoka.[/QUOT
poa,aiko kwere nimekusoma
kila la kheri
Nakushauri, anza maisha mara moja. Maji yameshamwagika. Kujenga mtajenga mkiwa pamoja. Tena ni vizuri kusaidiana kwenye majukumu kama hayo ya ujenzi na malezi ya ujauzito na kijacho.... Hata mkianza kuishi nyumba ya kupanga, sio mbaya, muhimu na uzuri mna pa kujenga na mtaji.
Habari zenu wadau,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ninamchumba wangu ana miaka 20 tunapendana sana lakini hivi majuzi ananiambia hajidikii vizuri na hajaona siku zake ambazo hua zinawahi lakini Leo ndio alitakiwa apate hedhi.
Anadai ana mimba yangu lakini changamoto inakuja kwamba Mimi naishi na wazazi na ndio nimeanza kuchimba msingi nijenge na nilimwambia asubiri nijenge niende kwao lakini sasa majukumu yamekua mawili nashindwa nifanyeje, nimwambie aende kwao ili nimalize ujenzi au nipange chumba nimuoe kabla mimba haijawa kubwa ujenzi usubiri.
ivo vitu vinahusikaje hapo,nani alikwambia Mimi natumia hivyo vitu,nani alikwambia waliowachumba wakifanya ngono wanazini,soma biblia yako vizuri kitabu cha mambo ya walawi kama huna ushauri ni ushauri wangu kwako refer to your post
(na uache ushamba)
sio kwamba nashindwa kumuoa ila nikimuoa kujenga ni baadae sana mana plus mahari na kulipa kodi na garama za kuendesha maisha zitakua tofauti
ivo vitu vinahusikaje hapo,nani alikwambia Mimi natumia hivyo vitu,nani alikwambia waliowachumba wakifanya ngono wanazini,soma biblia yako vizuri kitabu cha mambo ya walawi kama huna ushauri ni ushauri wangu kwako refer to your post
(na uache ushamba)
sio kwamba nashindwa kumuoa ila nikimuoa kujenga ni baadae sana mana plus mahari na kulipa kodi na garama za kuendesha maisha zitakua tofauti
Ulikula kavu?
Hebu kaka nionyeshe hilo andiko hapa..walawi sura ya ngapi mstari wa ngapi??na binti hata hujamlipia mahari unamhalalisha eti mchumbako??lea matunda ya uzinzi wako..mungu kakataza kufanya mapenzi kabla ya ndoa we unahalalisha kama nani???!!!
Nyau wewe!!"
Umesema hapo mahali bado ujalipa so huyo so mchumba.
mchumba wako kivipi?Wakati hata mahari ujamtolea?
Habari zenu wadau,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ninamchumba wangu ana miaka 20 tunapendana sana lakini hivi majuzi ananiambia hajidikii vizuri na hajaona siku zake ambazo hua zinawahi lakini Leo ndio alitakiwa apate hedhi.
Anadai ana mimba yangu lakini changamoto inakuja kwamba Mimi naishi na wazazi na ndio nimeanza kuchimba msingi nijenge na nilimwambia asubiri nijenge niende kwao lakini sasa majukumu yamekua mawili nashindwa nifanyeje, nimwambie aende kwao ili nimalize ujenzi au nipange chumba nimuoe kabla mimba haijawa kubwa ujenzi usubiri.
Dogo acha uoga, panga chumba fasta na ufunge ndoa. Siku hizi hakuna mambo ya mahari labda useme huna hela ya kodi kitu ambacho ni uvivu.sio kwamba nashindwa kumuoa ila nikimuoa kujenga ni baadae sana mana plus mahari na kulipa kodi na garama za kuendesha maisha zitakua tofauti