Hardwaycomes
JF-Expert Member
- Dec 26, 2018
- 370
- 494
Daby bhana unaniangusha,hata wewe haujasoma?Eeeh tuambie alikoipatia.
Mbona ipo clear kabisa bibie kamwambia "aliitunza pesa ndani"
Sent using Jamii Forums mobile app
Daby bhana unaniangusha,hata wewe haujasoma?Eeeh tuambie alikoipatia.
Kumbe Kiduku Lilo ana twin wake😊😊Yaani umenisikitisha Sana, eti 450k unaweka bank!
Anawekeza mjanja sana huyo, si anajua atachomoa zaidi ya hizo, yaani hapo ni kama kurudisha mpira kwa kipa, ataurusisha tu uwanjani mwenyewe!!😀
kubet mwisho mpira, si katika haya mambo.
Anawekeza mjanja sana huyo, si anajua atachomoa zaidi ya hizo, yaani hapo ni kama kurudisha mpira kwa kipa, ataurusisha tu uwanjani mwenyewe!!![]()
hapana mkuu, nilie nae odd zimekaa kihasara sana!
Sielewi kama ndoto hivi, Ila ni kweli ilikuwa mwishoni mwa mwaka Jana nilipoanza penzi jipya nililolitamani siku nyingi, Ile nimeanza tu sijakaa Sawa nikaliliwa shida ya elfu kumi kumi 50, japo niliwaza Sana maana ilinichukua karibu wiki mbili kuwaza niliamua kumpa cash, wakuu leo nimerudishiwa pesa yangu yote na huku anacheka akisema nilikuwa nakupima tu, ulivyonipatia pesa nilienda weka ndani sikuwa na shida nayo, I love you hehehe wakuu nipo hapa nimeweka 450 bank 50 nakula nae kitimoto na hivi hatunywi alcohol hahaha
Nitaoa siku moja nitavaa suti na Kula kiapo kama mambo yenyewe ndio haya,
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana mkuu, nilie nae odd zimekaa kihasara sana!
Anakukoleza tu, Biashara ni new strategies ambazo hazipo kwenye Market..... mwache Akufanyie biashara kibunifu....
Wale ambao hatujawahi kurudishiwa tunakoment wap? Mhudumu niongeze bia moja hapoSielewi kama ndoto hivi, Ila ni kweli ilikuwa mwishoni mwa mwaka Jana nilipoanza penzi jipya nililolitamani siku nyingi, Ile nimeanza tu sijakaa Sawa nikaliliwa shida ya elfu kumi kumi 50, japo niliwaza Sana maana ilinichukua karibu wiki mbili kuwaza niliamua kumpa cash, wakuu leo nimerudishiwa pesa yangu yote na huku anacheka akisema nilikuwa nakupima tu, ulivyonipatia pesa nilienda weka ndani sikuwa na shida nayo, I love you hehehe wakuu nipo hapa nimeweka 450 bank 50 nakula nae kitimoto na hivi hatunywi alcohol hahaha
Nitaoa siku moja nitavaa suti na Kula kiapo kama mambo yenyewe ndio haya,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale ambao hatujawahi kurudishiwa tunakoment wap? Mhudumu niongeze bia moja hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
unagongewa dogo...hakuna demu wa class hiyo kwa sasaSielewi kama ndoto hivi, Ila ni kweli ilikuwa mwishoni mwa mwaka Jana nilipoanza penzi jipya nililolitamani siku nyingi, Ile nimeanza tu sijakaa Sawa nikaliliwa shida ya elfu kumi kumi 50, japo niliwaza Sana maana ilinichukua karibu wiki mbili kuwaza niliamua kumpa cash, wakuu leo nimerudishiwa pesa yangu yote na huku anacheka akisema nilikuwa nakupima tu, ulivyonipatia pesa nilienda weka ndani sikuwa na shida nayo, I love you hehehe wakuu nipo hapa nimeweka 450 bank 50 nakula nae kitimoto na hivi hatunywi alcohol hahaha
Nitaoa siku moja nitavaa suti na Kula kiapo kama mambo yenyewe ndio haya,
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃Yaani umenisikitisha Sana, eti 450k unaweka bank!