boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,109
- 1,398
Sielewi kama ndoto hivi, Ila ni kweli ilikuwa mwishoni mwa mwaka Jana nilipoanza penzi jipya nililolitamani siku nyingi, Ile nimeanza tu sijakaa Sawa nikaliliwa shida ya elfu kumi kumi 50, japo niliwaza Sana maana ilinichukua karibu wiki mbili kuwaza niliamua kumpa cash, wakuu leo nimerudishiwa pesa yangu yote na huku anacheka akisema nilikuwa nakupima tu, ulivyonipatia pesa nilienda weka ndani sikuwa na shida nayo, I love you hehehe wakuu nipo hapa nimeweka 450 bank 50 nakula nae kitimoto na hivi hatunywi alcohol hahaha
Nitaoa siku moja nitavaa suti na Kula kiapo kama mambo yenyewe ndio haya,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaoa siku moja nitavaa suti na Kula kiapo kama mambo yenyewe ndio haya,
Sent using Jamii Forums mobile app
