- Thread starter
- #21
Hiyo inakuwa kwenye makutano tu inasaidia kuondoa keroo ya kusubiri taa zikuruhusu na mala nyingi fly over huchukua nafasi kubwa ili iweze kurahisisha magari kupita upande wowote lakini hapo Tazara haiwezekani ni padogo saaana magari yanayo toka mjini kuelekea Buguruni yatahitaji mzunguko mkubwa hichoo ndoo kikwazo na hivo hivo upande wa magari yanayotoka airport kuelekea bandariKwani fly over ni ya safari kabisa au inakua kwenye makutano tu?