TANZIA Mchoraji wa katuni ya Mohammad (Lars vilks) afariki dunia kwa ajali ya gari

... apumzike kwa amani.
Mwenzako taari huyo kafa kwa laana, ww endelea na kiburi chako cha kukejeli, moto utakuanza hapahapa
-56cqo8.jpg
20211004_152254.jpg
20211004_152256.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2021-10-04-16-31-36-039.jpg
    Screenshot_2021-10-04-16-31-36-039.jpg
    54 KB · Views: 2
Wenzetu wako serious kiasi chake kwenye kulinda raia wake.

Toka 2007 mpaka leo mtu analindwa na polisi kisa anatishiwa kuuwawa.

Sisi tunajitahidi kuwalinda tembo na faru Kwa u-serious huo dhidi ya poachers.

Je suis Charlie!
Na kafa… right

Mlinzi ni Mungu tu
 
Mswedeni cartunisti Lars Vilk ambaye mwaka 2007 alichora katuni
ya kumzihaki Mtume Muhammaad iliyo trend sana afariki kwenye ajali ya gari.
Huyo jamaa Mwaka 2007 alichora kibozo cha ummbo la mbwa likiwa na kichwa cha Mtume Muhammad.
Jamaa alilaumiwa na jumuiya yote ya uislam duniani.
Akahukumia fatwa na jumuiya ya uislam.
Jamaa maisha yake yalikuwa hatarini na alisakoswakoswa kuuwawa mara kadhaa.
Al qaeda walitangaza dau la dola 100,000 kwa mtu atakaye muua.
Jamaa alikuwa analindwa na polisi muda wote na hata ajali
iliyotokea ni kati ya gari ndogo ya police aliyokuwa anatembelea kugongana na roli la mizigo uko sweden .
Dini jamani sio za uzizihaki , sijui ndio kauliwa au ni ajali ya kawaida siku zake zimefika.
Soma habari kamili kenye link hapo chini.

Nchi za wenzetu uzalilishaji unalipa sana hadi anatembelea gari ya polisi
 
Ukiangalia vizuri hiyo catoon huyo anayedaiwa kuwa ni Mtume kafanana na Osama Bin Laden. Kwa hiyo mchoraji alichora kwa kujaribu kumfananisha Mtume na mmoja ya waislam maarufu duniani kwa wakati huo. Na alikuwa Bin Laden.
 
sio uzalilishaji unalipa. kwa mtazamo wangu ni uhuru wa habari na haki ya kuishi ndiyo inazingatiwa sana
Ivi uhuru wa habari ndio kukejeli dini za watu ?? Bakora zinaanza hapahapa duniani akhera ni mahesabu tu, endelezeni chuki zenu, alianza baba yenu firauni kuikashifu dini ya Kiislamu na mpaka leo history inamtafuna, wajukuuzake waendelee na kiburi siku zao zinakaribia
 
Wenzetu wako serious kiasi chake kwenye kulinda raia wake.

Toka 2007 mpaka leo mtu analindwa na polisi kisa anatishiwa kuuwawa.

Sisi tunajitahidi kuwalinda tembo na faru Kwa u-serious huo dhidi ya poachers.

Je suis Charlie!
Anatishiwa kuuliwana Dini ya Amani?
 
Ukiangalia vizuri hiyo catoon huyo anayedaiwa kuwa ni Mtume kafanana na Osama Bin Laden. Kwa hiyo mchoraji alichora kwa kujaribu kumfananisha Mtume na mmoja ya waislam maarufu duniani kwa wakati huo. Na alikuwa Bin Laden.
Huawezi kumchora Mtume Muhammad coz hukumuona na humjui, hapa Idrisa alijifananiza na meko tu kilichofuata mpaka leo hawezi kurejea, heshimuni dini za watu laa siivyo mtapa mnachokitaka
 
Mchora katuni wa ufaransa Bwanaaaa Lars Vilks amefariki dunia kwa ajali leo nchini huko.

Bwana Lars Vilks alijipatia umaarufu baada ya kuzua taharukii kwa kuchora katuni ya mtume MOHAMED SAW.

===
A view of a scene after an accident between a car and a lorry in which three people died, including Swedish artist Lars Vilks, outside the town Markaryd in Sweden October 3, 2021. TT News Agency/ Johan Nilsson via REUTERS

STOCKHOLM, Oct 4 (Reuters) - Swedish artist Lars Vilks, who stirred worldwide controversy in 2007 with drawings depicting the Prophet Mohammad with the body of a dog, was killed in a car crash near the southern town of Markaryd on Sunday, police said.

Vilks, 75, who had been living under police protection since the drawings were published, was travelling in a police vehicle which collided with a truck. Two police officers were also killed.
"This is a very tragic incident. It is now important to all of us that we do everything we can to investigate what happened and what caused the collision," Swedish police said in a statement on Monday.

"Initially, there is nothing that points to anyone else being involved." Most Muslims consider any depiction of the founder of Islam as offensive.

Since the publication of the cartoons, Vilks had been living under round-the-clock police guard following threats against his life. He had a bounty put on his head and his house was fire-bombed.

In 2015, one person was killed in Copenhagen, Denmark, at a meeting meant to mark the 25th anniversary of an Iranian fatwa against British writer Salman Rushdie, which Vilks attended.
Vilks was widely seen as the intended target.

Vilks had said that the cartoons were not intended to provoke Muslims, but to challenge political correctness in the art world.

Reporting by Helena Soderpalm, Editing by Simon Johnson and Timothy Heritage


Source: Bbc Swahili
Siyo mfaransa ni wa Sweden.
 
Back
Top Bottom