Step_Rocker
Senior Member
- Aug 31, 2021
- 197
- 323
niwe muwazi nmesoma mpaka hapa tu...Mchora katuni wa ufaransa Bwanaaaa Lars Vilks amefariki dunia kwa ajali leo nchini huko.
Bwana Lars Vilks alijipatia umaarufu baada ya kuzua taharukii kwa kuchora katuni ya mtume MOHAMED SAW.
anyway R.I.P