MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
Sijui ni kwa nini wizara ya elimu Ina bahati mbaya kiasi hiki. Ilikuwa Enzi ya Mungai, akiamua kuharibu elimu kana kwamba ni biashara binafsi. Sasa tuna timu mpya, akina Kawambwa, Mulugo na Mchome wao.
Huyu Mchome Hana tofauti na Mungai. Nahisi amepata nafasi hiyo bila kutegemea na anajaribu kuonyesha kwamba kichwa kiko safi. Siamini!
Wozara ya elimu ni zaidi ya Mchome na kufikiri kwake. Ilistahili atulie na kuwahusisha wadau badala ya kuita wanahabari na kit angalia div.5. Ha kuifanya hivyo na ndo maana wengi tunaona ni mtu mwenye vituko na binafsi namuona Hana tofauti na Mungai.
Najiuliza, ni nani anawatuhusu watu Kama Mchome kuchezea elimu yetu? Je, sera au mipango inapangwa n mtu mmoja ndani ya wizara?
Huyu Mchome asipoangaliwa kwa makini, anaiharibu tena elimu yetu kwa Mara ya pili.
Huyu Mchome Hana tofauti na Mungai. Nahisi amepata nafasi hiyo bila kutegemea na anajaribu kuonyesha kwamba kichwa kiko safi. Siamini!
Wozara ya elimu ni zaidi ya Mchome na kufikiri kwake. Ilistahili atulie na kuwahusisha wadau badala ya kuita wanahabari na kit angalia div.5. Ha kuifanya hivyo na ndo maana wengi tunaona ni mtu mwenye vituko na binafsi namuona Hana tofauti na Mungai.
Najiuliza, ni nani anawatuhusu watu Kama Mchome kuchezea elimu yetu? Je, sera au mipango inapangwa n mtu mmoja ndani ya wizara?
Huyu Mchome asipoangaliwa kwa makini, anaiharibu tena elimu yetu kwa Mara ya pili.