Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
hii si manzese ya dar!!labda huko kwao
Kwani hapo Dar ni mt. gani wanatumia MAGUTA kwa wingi kwa uzoefu wako?!Manzese ya bongo au kwingine? Acha uongo wewe!!!!
Kwani hapo Dar ni mt. gani wanatumia MAGUTA kwa wingi kwa uzoefu wako?!
Angalia hizo sign posts kwenye backgound ya picha na rangi yake hafu unambie kama nchi hii tunatumia format hiyo, no wonder huijui Manzese kama utabaki adamant!!!Kwani hapo Dar ni mt. gani wanatumia MAGUTA kwa wingi kwa uzoefu wako?!
karibu mjini kaka