mkibunga
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 196
- 25
mchina alisema kwao alizaliwa mtoto bila mikono wakampa ya bandia leo ni bondia
mjerumani akadakia kwao alizaliwa mtoto bila miguu wakampa ya bandia leo hii ni mwanariadha mashuhuri amewaletea medali na heshima kedekede
mtanzania akawambia yenu ni cha mtoto akasema kwetu alizaliwa mtoto karibu na bagamoyo hana kichwa akawekewa tuyi la nazi leo hii anaongoza nchi
mjerumani akadakia kwao alizaliwa mtoto bila miguu wakampa ya bandia leo hii ni mwanariadha mashuhuri amewaletea medali na heshima kedekede
mtanzania akawambia yenu ni cha mtoto akasema kwetu alizaliwa mtoto karibu na bagamoyo hana kichwa akawekewa tuyi la nazi leo hii anaongoza nchi