The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,662
- 2,744
Wanabodi,
Natumaini wote wazima. Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
Kwanza naipongeza serikali Kwa ujenzi wa barabara nchini. Sasa kuna kipande kile cha Misigiri to Sherui, sina hakika kilijengwa enzi za JPM au Mh. Change. Ile barabara ya juzi Kati tu hapa ila sasa utafikiri ya 1992.
Ina full vilaka, mashimo, kingo zimemongonyoka, mistari ya barabara ishafutika etc.
Bila kumungu'nya maneno ile barabara ilipigwa kwa kiwango cha chini sanaaa, ukicompare na mkeka wa singida to Karatu bado mpyaaaaa.
Wasaalam!
Mhenga aliye safarini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumaini wote wazima. Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
Kwanza naipongeza serikali Kwa ujenzi wa barabara nchini. Sasa kuna kipande kile cha Misigiri to Sherui, sina hakika kilijengwa enzi za JPM au Mh. Change. Ile barabara ya juzi Kati tu hapa ila sasa utafikiri ya 1992.
Ina full vilaka, mashimo, kingo zimemongonyoka, mistari ya barabara ishafutika etc.
Bila kumungu'nya maneno ile barabara ilipigwa kwa kiwango cha chini sanaaa, ukicompare na mkeka wa singida to Karatu bado mpyaaaaa.
Wasaalam!
Mhenga aliye safarini.
Sent using Jamii Forums mobile app