...Mchezo Wa Vita Una Umri Wake…!

...Mchezo Wa Vita Una Umri Wake…!

Mchambuzi,

..thanks.

..umesema vita ilitugharimu USD 500 million.

..kuna mahali nimesoma kwamba in the last 2 yrs Tanzania tume-export dhahabu yenye thamani ya USD 1.9 billion na USD 1.4 billion.

..hivi thamani ya dhahabu iliyochimbwa nchi hii over the years haiwezi ku-offset hasara tuliyoingia kutokana na vita vya Kagera??

..hivi kuna uhalali wa kuunganisha matatizo yetu ya uchumi ya leo hii na vita vya Kagera??

..naomba nikiri kwamba I am not an economist kwa hiyo naweza kuwa nimekosea.

cc😡NasDaz, chama, Mzee Mwanakijiji, EMT, Gaijin, Kobello, Kiranga, Zitto

Jokakuu, once again umenena mambo ya msingi sana; kwa mfano mdogo tu, EPA ni karibia two thirds ya gharama ya vita vya kagera; tukiamua kujumuisha na Ufisadi unaoendelea sekta ya nishati, madeni hewa ya nje (national debt) kwa mujibu wa CAG, misamaha ya kodi itokanayo na vimemo, ni uchungu kuendelea kujadili suala hili; na mbaya zaidi, wanao ona utawala baada ya mwalimu ni utawala wa utukufu ndio wahusika wa janga linalowakabili maskini wa nchi yetu;

Cc rufiji

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom