bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Hapo nimembana sana black,nikapata over confidence,akajipanga upya akashinda.
Wadau mnaongeleaje huu mchezo?
Wadau mnaongeleaje huu mchezo?
True lipo tofauti na normal draft hili lipo kimombasa mombasaNa linacheza tofauti na hizo kete zilivyopangwa
Duuuh....!!!!True lipo tofauti na normal draft hili lipo kimombasa mombasa
Tofauti na draft ambapo mshindi hupatikana ukila kete zote za mpinzani wako.Kama hiyo picha ya 2 imeandikwa "checkmate AI wins", chess huisha pale kete ya " king" inapokamatwa.Mimi najua draft
Hapana,zinapatikana stationary kuanzia 7,000 tu na kuendelea.hilo dude kibongobongo ni gharama sana hasa kete zake.