Mchezaji gani wa nje amekuwa bora zaidi wa muda wote kwako?

Yes.

Kuna mastaa wengi kutoka nchi zingine tumeshuhudia wakikipiga soka hapa nchini n wengine bado wapo hata sasa baadhi yao ni kama hawa hapa

Musonda
Francis Kahata
Yaw Berko
Amis Tambwe
Haruna Niyonzima
Tuisila Kisinda
Ntibanzokisa Saido
Bernard Morisson
Ramadhan Waso
Kanoute 'Putin'
Constantine Kimanda
Ben Mwalala
Doyi Moke
Kipre cheche
Banza Tshikala
Aziz K
Moloko Jesus
Mukoko Tonombe
Tshibobou
Pacome Zouzoua
Donald Ngoma
Kalala Mayele
Mordon Malitoli
Pape Sakho
Kichochi lemba
Michael Sarpong
Prince Dube
Chirwa Obrey
Aucho Khalid
Mafisango Mutesa Patrick
Felix Sunzu
Patrick Katalay
Meddie Kagere 'MK14'
Youthe Rostand
Ambani Boniface
Djigou Diara
Inonga
Chemalon
David Molinga 'Ndama'
Amis Tambwe
Emmanuel Okwi
Pitchou Kongo
John Baraza
Chama Clatous
Patrick Ochan
Tshitshimbi
Carlinhos
,,,na wengine chungu nzima

Mchezaji au wachezaji wa ligi kuu nchini bora zaidi kwako wa muda wote.

Namm nitaweka wangu hapa.
Nilitaka kumtaja ricardo nakutana na musonda nikachoka
 
Jose Luis Miquesson...
Huyu jamaa ana balaa Mimi n Yanga ila ilibidi mwanangu nimpe jina la Miquesson kumuenzi jamaa ..
After Ngassa sijawahi ona mtu hatari kwenye ligi yetu kama Miq
 
Ebwanae, hakuna mchezaji aliyenikonga kama haruna niyonzima. Uchezaji is an art. Sikuwahi kuchoka kumuangalia alipokuwa anacheza. Kwa lugha nyingine, mpira ulimpenda kuliko yeye alivyoupenda. Alikuwa analicommand gozi na lilikuwa linamtii kwa utuo. Pasi zenye maono zilikuwa zinatumwa na kufika, penetration pass zake zilikuwa hatari mno, next level penetration passes. Juu ya yote, control kwake ni SANAA. Alikuwa analetewa pass ya chuki na kuu control mpira na ukamtii, kisha kupiga one damn merciless killer pass. Bila shaka ninaamini mwamba alikuwa underrated. He's my favourite among midfield maestros.
True jamaa fundi wa ukweli
 
Mimi ni Yanga ila Okwi ni mchezaji bora kabisa kuwahi kucheza soka la Tanzania.

Yaw Berkooo, mpaka sasa sijaona kipa mzuri Yanga kama Yaw Berko ktk kipindi chake. Huyu Mghana alikuwa anajua kuzilinda nyavu.
Kwa Berko na Diara umechochola mkuu. Kwangu mini ni Nonda shabani "Papiii" pamoja na Diara.
 
Shehani Rashid(pemba), waziri mahadhi nchi ya tanga
We Mkongwe kama unawajua hao. Hao jamaa ni mafundi sana. Shekhan Sijui kapotelea wapi. Kwa wachezaji wazawa, sijui kama kuna anayemkutia Shekhan Rashid Abdallah. Tanga kulikuwa na Abdallah Salehe Sabebe kijana wa Majani Mapana, Shekuye Salehe pamoja na Waziri Mahadhi bin Jabri. 🔥 📛
 
Yes.

Kuna mastaa wengi kutoka nchi zingine tumeshuhudia wakikipiga soka hapa nchini n wengine bado wapo hata sasa baadhi yao ni kama hawa hapa

Musonda
Francis Kahata
Yaw Berko
Amis Tambwe
Haruna Niyonzima
Tuisila Kisinda
Ntibanzokisa Saido
Bernard Morisson
Ramadhan Waso
Kanoute 'Putin'
Constantine Kimanda
Ben Mwalala
Doyi Moke
Kipre cheche
Banza Tshikala
Aziz K
Moloko Jesus
Mukoko Tonombe
Tshibobou
Pacome Zouzoua
Donald Ngoma
Kalala Mayele
Mordon Malitoli
Pape Sakho
Kichochi lemba
Michael Sarpong
Prince Dube
Chirwa Obrey
Aucho Khalid
Mafisango Mutesa Patrick
Felix Sunzu
Patrick Katalay
Meddie Kagere 'MK14'
Youthe Rostand
Ambani Boniface
Djigou Diara
Inonga
Chemalon
David Molinga 'Ndama'
Amis Tambwe
Emmanuel Okwi
Pitchou Kongo
John Baraza
Chama Clatous
Patrick Ochan
Tshitshimbi
Carlinhos
,,,na wengine chungu nzima

Mchezaji au wachezaji wa ligi kuu nchini bora zaidi kwako wa muda wote.

Namm nitaweka wangu hapa.
Ungeuliza wale ambao walikuwa ni hasara kwa timu zao, lakini wengine wengi walikuwa bora kulingana na wakati wao na nafasi zao kwani hawakucheza kipindi kimoja na hawakucheza katika nafasi moja kiasi cha kuwaweka kipimo komoja.

Wachezaji kama Kanoute na Sawadogo ni hasara sana jkwa Simba
 
Triple C mwamaba wa lusaka

Chama JR

Huyu timu ndo mbovu
Sio yeye
Kama unabisha angalia goli za simba msimu huu

Kama hayuko kwenye assists basi chance created
Such a composed att mid
 
Back
Top Bottom