momo2
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 424
- 294
Mtafutie kazi utapunguza mzigo wa mizinga kiasi flanWadau nimemchoka huyu mchepuko kiukweli demu ni mzuri ana hips za maana anatokea Chato na alikua mwanafunzi wangu nikimfundisha masomo ya hotel ila kamaliza chuo na nikamtafutia field ila naona Sasa ananibebesha majukumu ya wazazi wake yani vizinga daily mara pedi mara chupi mara vocha yani demu maskini wa kutupwa nimejaribu sana kumpiga chini lakini ananing'ang'ania nimfanyaje huyu ili asiwe na hamu na mimi manake kila nikimkwepa lazima atakuja ghetto tu