dickdickinyo
Senior Member
- May 19, 2015
- 118
- 53
Nina mchepuko ambao una jamaa yake wanaishi wote.Sasa ishu ni kwamba jamaa amemwambia mchepuko kuwa alienda kwa mganga na amemwekea mtego kwamba akichepuka tu anagandana na mwanamme aliyetembea nae.Mchepuko unasita kunipa papuchi kwa kuogopa kuwa tutagandana.