BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,974
Michepuko mna nini lakin?
Wakuu ninaandika kwa masikitiko na majonzi makubwa saana. Nimeoa takribani miezi Tisa sasa. Kama mjuavyo kwetu sisi wanaume hatuachi kuchepuka ikiwa ndo asili na hulka yetu.
Namshukuru Mungu,nimebahatika kupata mwanamke mzuri, mwenye upendo na pia Ni mcha Mungu. Tatizo ni huyu mchepuko niliye naye,anani control mnooo. Yaani ananifanyia visa sijapata kuona.
Inafikia nyakati Mke wangu simjali Wala kumheshimu tena, najikuta nguvu zote nazielekeza kwa mchepuko. Na mbaya zaidi mchepuko ananipeleka vile anavyo jisikia, namfanyia mambo mengi kuliko hata ninayo yafanya kwenye familia yangu
Lakini naambulia matokeo hasi kutoka kwa huyo mchepuko. Mchepuko anaweza kunihitaj hata saa tano usiku,ntajikuta nmedanganya kwa wife ili tu niweze kutoka
Kuna nyakati mchepuko atanifanyia vitimbi na vibweka kiasi kwamba napoteza kabisa mood ya kazi. Nkirudi nyumbani, mke wangu namdanganya then atanifariji na kunitia nguvu na maisha yanaendelea.
Imefikia hatua nataka niachane kabisa na mchepuko, nashindwa kabisa yaan nitampotezea Leo lakini kesho ntamtafuta Tena Bila kujali madhila anayo nifanyia.
Nimechoshwa na hii hali wakuu,natamani kujinasua katika hii Hali ninayo pitia. Nahitaji kujikita kwenye familia yangu. Kinacho niumiza zaidi naweza kukaa hata wiki sijapiga game nyumbani, ila nataka kupiga tu game na mchepuko.
Mke wangu anakuwa mnyonge mnoo. Najutia saana kuwa na mchepuko, najitahid kutafuta njia nzuri ya kutoka na hatimaye kuacha kabisa.
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu ambao mmeoa. Kama unaweza please tulia na mke wako ili usipitie hali ambayo naipitia.
NB: Mke wangu ni mzuri na ametimia kila idara kuliko hata mchepuko.
Cc Extrovert
Wakuu ninaandika kwa masikitiko na majonzi makubwa saana. Nimeoa takribani miezi Tisa sasa. Kama mjuavyo kwetu sisi wanaume hatuachi kuchepuka ikiwa ndo asili na hulka yetu.
Namshukuru Mungu,nimebahatika kupata mwanamke mzuri, mwenye upendo na pia Ni mcha Mungu. Tatizo ni huyu mchepuko niliye naye,anani control mnooo. Yaani ananifanyia visa sijapata kuona.
Inafikia nyakati Mke wangu simjali Wala kumheshimu tena, najikuta nguvu zote nazielekeza kwa mchepuko. Na mbaya zaidi mchepuko ananipeleka vile anavyo jisikia, namfanyia mambo mengi kuliko hata ninayo yafanya kwenye familia yangu
Lakini naambulia matokeo hasi kutoka kwa huyo mchepuko. Mchepuko anaweza kunihitaj hata saa tano usiku,ntajikuta nmedanganya kwa wife ili tu niweze kutoka
Kuna nyakati mchepuko atanifanyia vitimbi na vibweka kiasi kwamba napoteza kabisa mood ya kazi. Nkirudi nyumbani, mke wangu namdanganya then atanifariji na kunitia nguvu na maisha yanaendelea.
Imefikia hatua nataka niachane kabisa na mchepuko, nashindwa kabisa yaan nitampotezea Leo lakini kesho ntamtafuta Tena Bila kujali madhila anayo nifanyia.
Nimechoshwa na hii hali wakuu,natamani kujinasua katika hii Hali ninayo pitia. Nahitaji kujikita kwenye familia yangu. Kinacho niumiza zaidi naweza kukaa hata wiki sijapiga game nyumbani, ila nataka kupiga tu game na mchepuko.
Mke wangu anakuwa mnyonge mnoo. Najutia saana kuwa na mchepuko, najitahid kutafuta njia nzuri ya kutoka na hatimaye kuacha kabisa.
Ushauri wangu kwa vijana wenzangu ambao mmeoa. Kama unaweza please tulia na mke wako ili usipitie hali ambayo naipitia.
NB: Mke wangu ni mzuri na ametimia kila idara kuliko hata mchepuko.
Cc Extrovert